CHADEMA Must Reform and Restructure now!

we need changes regardless wheather you are ccm or cdm member. Tanzania is regarded as one of the richest nation on earth in terms of natural resources but look at our pace of development when compared to other neughboring leave a lot to be desired.what is requred is completely overhaulong of the governance system of our beloved country.
 
Ni chama cha wachaga aka majambazi.

Duh!
Do you Believe in Democracy or Communocracy?

If the truth were to be told,it's like you lack African Moral values and Intellectual capacity in Discussing issues .
Now people are working against each other and trying to sabotage one another so that this person from this tribe can be in power or that person from that tribe doesn't have the opportunity to steal as opposed to the thief from our tribe.Tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria,hata tupate katiba mpya ,kama hatutabadilisha mentality za watu tuna kazi
 


mnaambiwa muende shule mnang'ang'ania madrasa sasa hayo ndo matatizo yake
 

do you know what happened after operation sangara?muulize gamba mkuu atakusimulia!
 
Mpaka sasa katiba inawaruhusu kuongea ovyo ovyo kama hivo.Lakini kwa miondoko hiyo CDM haiwezi kuwaunganisha watanzania, na kwa sababu hiyo ndio maana chadema haiwezi kuingia Ikulu hata kwa miguvu.Siku zote kitu ambacho huwa kinaonekana haraka huwa ni matatizo na si mafanikio.Viongozi wasiokuwa waadilifu wao wenyewe hawawezi kuwa viongozi wasafi.Mtu muovu hawezi kuongoza mapambano ya kuleta Haki hata siku moja
 
mnaambiwa muende shule mnang'ang'ania madrasa sasa hayo ndo matatizo yake

kwahiyo wewe umeenda Shule?!!! Kama mtu aliyeenda shule ana akili kama za kwako basi wewe hukutakiwa kusoma maana akili zako ziko kama za mtu ambaye hajaenda shule. Si kila siku mnasema nyinyi mmesoma na watu wa madrasa hawajasoma sasa imekuwaje? mbona nyinyi ambao hamjapitia madrasa mnaandamana nawakati nyinyi ndio mmeishika nchi? waswahili wasema "Masikini akipata ****** hulia mbwata" which means nyinyi mlijiona mmesoma kumbe ni wajinga tu na haya ndiyo matokeo yake
 
mbowe atakubali kuachia?unajua sometimes namwona mbowe kama anapenda madaraka,anyway tuone watafanyaje manake 2015 ipo karibu kuliko tunavyowaza
 

Ulinganifu wako na mfumo wa CCM wa kuwa na katibu imara lakini mwenyekiti siyo lazima awe na uthabiti siyo sahihi katika mazingira ya chama chenu hiki. CCM ni chama dola na mfumo huo ni sustainable for as long as bado kinaendelea kushikilia dola. Kwa chama kama Chadema survival yake inategemea sana uimara wa institutions zake, na umahiri wa uongozi wake kujenga institutions zake na kubaki kuwa relevant kwa wananchi. Ni lazima wananchi waji-identify na chama hicho kama kinataka kuwa imara na hufanya hivyo kwa kujua mahitaji ya wananchi na ku-articulate yale matarajio (kwa mfumo wa sera). Haya tumeyajadili jana lakini kama kawaida kukawa na disruptions na hoja ile ikageuzwa kuwa malumbano yasiyo na tija kwani wengi wa wachangiaji ni walevi wa euphoria badala ya kuangalia posterity ya chama na nchi kwa ujumla.

Sina hakika kama mpaka hapa tunapoongea Chadema wamefanya postmortem ya uchaguzi uliopita na kubaini kwa nini mahudhurio ya watu kwenye rallies hayaku-translate into votes na wafanyeje kuhakikisha hilo halijirudii. Inawezekana bado wengi wako busy kujadili kuchakachuliwa kwa matokeo (kama wanavyodai) bila hata kujiuliza kama kweli uchakachuaji ulikuwepo nini kilisababisha na wafanyeje ili sasa lisijirudie. Lakini typical of our opposition parties, wakarukia kwenye agitation ya katiba na kujikita huko bila hata kupata fursa ya tathmini hiyo na bila hata kuwa na mapendekezo ya kile ambacho kingekua ni rasimu ya katiba kwa maoni yao. Hata sasa wanapofanya mikutano yao, huelewi kama lengo la mikutano ni kuwashukuru wananchi (kama Slaa alivyosema Songea), au kuhamasisha wananchi kuchangia katiba (japo hatusikii muongozo wowote kwenye mikutano yao kuhusu namna wananchi wanavyotaka wachangie), au ni kuwaeleza wananchi (alleged) failure ya CCM kuleta maisha bora, au kuwataka wajiandae kumuondoa Kikwete kabla ya 2015 (kama walivyoahidi Songea). Chama kina-bank on euphoria na hasira za wananchi kutokana na kupanda kwa gharama za maisha bila kufanya mipango madhubuti ya kuwapa matumaini ya namna watakavyotatua shida hizo au namna ya ku-take advantage ya mdodoro huu kuwa na mfumo wa enrolment ya wanachama na kutoa elimu ya uraia kwa ujumla.

Kuna hili la reputation binafsi ya baadhi ya viongozi na tuhuma kwamba baadhi ya viongozi wanatumika kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi na hata kupokea vibahasha kama vichocheo vya misimamo yao ndani na nje ya bunge. Haya ni mambo ambayo yamekuwa yakiitia doa CCM na yakibainika kuwepo ndani ya Chadema, watu wataona kwamba wote ni wale wale lakini ikubwa ni kupoteza moral authority ya kukemea maovu yanayotendwa na chama kilichopo madarakani. HATA HIVYO KUJIREKEBISHA KUNAHITAJI KUYAKUBALI KWAMBA MATATIZO HAYA YAPO NA NI KIKWAZO KWA USTAWI AU HESHIMA YA CHAMA NA YANATAKIWA KUREKEBISHWA!
 
mnaambiwa muende shule mnang'ang'ania madrasa sasa hayo ndo matatizo yake

Hii ni kashfa na kuchochea hasira pasipo na sababu. Kwa mchango huu, kweli unaweza kuwaambia watu kwamba wewe umewahi kuliona hata jengo la shule? Hivi hoja huijui mpaka unaanza side issues. Hovyoo!
 

Mimi nakubaliana na wewe kimsingi on Azimio la Arusha. Lakini haiwezekani tukachukua azimio kama lilivyo. Kuna mambo mengi ya kusahihisha kwa mfano haiwezekani 'all major means of production by state'! Inaweza kuwa all strategic major means na tukadefine hizo kama umeme, reli, bandari etc.
Nikilisoma azimio nakubaliana na code of ethics for leaders na Misingi ya 'kila mtu anastahili heshima, na ule wa binadamu wote ni sawa. Ule wa Ujamaa na kujitegemea ndio njia 'PEKEE' ya kujenga jamii sikubali. Tuboreshe kuwa ujamaa na kujitegemea ni njia bora ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru. Azimio sasa ni kama myth! Maana hata waliokuwa wanalipinga ie petty bourgousie sasa wanalizungumzia. Nadhani Azimio kwa maana ya leadership code (ambayo nchi zote za kibepari zinayo code wakiita 'conflict of interest code') tuichukue.

On kutofautisha kazi za chama na za kibunge naona sense. Kitila pia amekuwa akilisemea hili sana kwenye vikao vya chama. Kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya muundo wetu ili kuwa tofauti na CCM. Mfano wakati tunapinga Spika kuingia kwenye vikao vya CC ya CCM, katiba yetu inasema Spika anayetokana na CHADEMA atakuwa mjumbe wa CC! Tumeanza mchakato wa kuangalia upya katiba yetu na hili wazo lako tutaliangalia kwa kina.
 
Tutazunguka weeeeee, but the facts remains there; CHADEMA MUST REFORM FOR THE GOOD OF THE NATION AND FOR SUSTAINABLE STABILITY OF THE PARTY AND NATION
 
Zitto

Mimi naunga mkono kutenganisha ubunge na uongozi wa chama lakini ama kwa tahadhari kubwa au kwa kupembua faida na hasara zake.

Najua wabunge wana fursa zaidi za rasilimali na hivyo kuweza kutekeleza majukumu ya chama kwa ufanisi zaidi kuliko wasio wabunge.

Baadhi ya wabunge ni popular hivyo wanavuta umma kwenye mikutano.

Utendaji wa kila siku wa kazi za chama ndio inahitaji kutenganishwa, siyo uongozi wa chama. Kwangu mimi nafasi kama ya Mkiti, katibu na manaibu wao ni za uongozi na zibaki kushikwa na wabunge walio imara na popular, ambao pia wana easy access na serikali
 

Pamoja sana Mkuu! Umma Uko Nyuma yenu.

Napenda sana CHADEMA iliyo Creative na Ndiyo Maana naamini sana Katika BAVICHA iliyo na Nguzu. Zitto as Leaders you all have chance to reform the party ili kiwe na Mvuto Zaidi na Hili mnaweza kulifanya kwa Kuanza kuwajenga Vijana waweze kupambana na Changamoto ya siasa za Kisasa najua Mna Vijana wengi ambao wako well Groomed cha Msingi msiwakatishe Tamaa
 

Zitto,

Kukiweka Chadema in the family of Concervative party of UK and Canada, the Republican party, CDU of Germany etc, ni rahisi. Whether Chadema will succeed like those centre right parties is another issue. Hivyo vyama vime-operate kwenye mazingira tofauti kabisa na ya kwetu. Wakati hivyo vyama vimekuwa vikioperate kwenye mazingira ya kibepari, kwa muda mrefu mazingira yetu yamekuwa kwa kiasi kikubwa ya kijamaa. Japokuwa hatufuati tena siasa za kijamaa, bado practice za kijamaa zimejikita sana kwenye mioyo mingi ya Watanzania. Kwa mfano, the way Watanzania wanavyobehave ni tofauti kabisa na Wakenya. Labda hili ndilo lililomfanya JK kusema kuwa siasa za kijamaa zimewafanya Watanzania waogope ubepari.

Chadema identifies itself as a centre right party. But what is the Tannzanians' understanding of rightness? At the end of the day is not whether you are centre right party or centre left party. A party can identify itself as a centre right party, lakini bado ikafuata siasa za mlengo wa kushoto kabisa. It is all about how you address the need of the voters.

I think whether or not Chadema will succeed as a centre right party should be addressed in the context of the success and failure of centre-right parties in post-communist states in Eastern Europe to which we have similar communist backgrounds. We are much related to that environment than the British, American, Canadian or Japanese one. My understanding is that some centre-right parties in these post-communist states have been successful but others have also failed for a number of reasons. Badala ya kuji-compare tuu na centre right party in the West, has Chadema done its homework on the success and failure of centre right parties in the post-communist states? Success I mean the the ability to construct a broad and durable political party.

So far Chadema has focused on macro-institutional explanations that focus on executive structures and electoral system design. However, these have limited explanatory power and it is often difficult to separate out analytically the processes of cause and effect. Although CCM historical-structure and legacy can be used to explain Chadema's ideological positioning as a centre-right party, they do little to explain whether Chadema will succeed as a centre right party.

Elite characteristics and capacity are needed to supplement the shortcomings currently exists in Chadema. I think that is what Rev. Kishoka is talking about. Chadema needs cohesive elites able to act as the nucleus of new centre-right formations and the ability of such elites to craft broad integrative ideological narratives that can transcend diverse ideological positions and unite broad swathes of centre-right and right-wing activists and voters.
 
EMT and Zitto could'nt be more analyitical and sensible and this is what other supporters of Chadema should strive to emulate, rather than calling each other names and deviating from the discussion. Chadema is trying to identify itself as a an institution that will transform the country and and a vehicle that carries peoples' hopes and aspirations. To be able to do this alot of things will need to be enlisted and the moral standing of the party leaders and operating above board rank the highest. The party has to do alot to shed the tag of a family enclave and things like that.
 
kimsingi uchambuzi wako ni mzuri na una lengo la kukijenga chama zaidi kwa kulenga kupata mvuto mpya mbele ya macho na masikio ya watanzania. ila kabla ya hayo mabadiliko hayo unayoyapendekeza ni vyema kufanya tadhmini ya mafanikio na mapungufu yaliyofanywa na viongozi wa wakati huu na kujiridhisha kwanza. nimependa sana ushauri wako wa vijana wa chuoni kutumika kueneza falsafa, madhumuni na malengo ya chama huko wanakotoka ila kuwe na mfumo mzuri wa upashanaji habari utakaowezesha kutoa picha ya haraka ya party networking hasa sehemu za vijijini. Thumb up, comrade!
 

Nashukuru kwa uchambuzi mahiri angalizo wengine humu jamvini wako si kwa kujenga bali kuandikiza migogoro. Jamma anasema mbowe hana mvuto ni hoja gani ya kipuuzi namna hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…