Rev. Kishoka ume andika mambo mengi ya ushauri kwa CDM kutokana na mtazamo wako lakini sio utafiti/research na omba ni toe angalizo chama hiki kime pitia uongozi wa Mzee Mtei, Mzee Bob Makani na sasa Mbowe unaweza uka angalia ni wkatigani chama hiki kimeonekana na mtazamo wakitaifa zaidi na kuku balika kwa watu wengi zaidi.Hivyo kusema mbowe hafai kuwa mwenyekiti wa chama hiki eti hana mvuto nisigefurahi kabisa kuona zina rudiwa rudiwa na wana jamvi.Tatizo sio mbowe na wala sio chadema na wala sio upinzani tujaribu kuwa scientific na realistic ni kitu gani ambacho mbowe kafanya hadi umeona anakiangusha chama,hakika huna jambo lolote la msingi juu ya hilo na unatoa ushauri kabisa kwamba aondoke madarakani ampishe Dr. Slaa kwa uchaguzi upi? Kumbuka hiki nichama cha demokrasia kama kinavyo jipambanua.Acheni kabisa kutoa ushauri usio nautafiti kabisa kwani huu ni upotoshaji.
Unasema CDM iungane na vyama vingine kama CUF hivi nikweli unashauri kwania njema au una mpango gani Mchungaji,hawa CUF mkono wakulia ni CCM mkono wa kushoto ni wapinzani labda Mchungaji ndoa ya CCM na CUF huitambui, vyama vya namna hii huwezi kushirikiana kwasababu hawa eleweki na mtazamo wao hautabiliki.
Hawa wengine kama TLP unajua kabisa ni matawi ya CCM, mwenyekiti wake msimamo wake umesha onekana kweli CDM tunahitaji kufanya kazi na vyama vya namana hii,NCCR mageuzi nao ni wale wale kutwa wako mahakamani na vitisho kwa CDM hivi tuungane tunavyo taka kufanya nini hapo sija kuelewa.au mchungaji unataka vyama viungane halafu viitwe vimeungana kwa hiyo vina umoja, huo umoja kwa ajili ya kufanya nini? mara ngapi CDM haijaweka mgombe uraisi na kime waunga mkono hao unaotaka leo wa ungane nao nini kimetokea baada ya hapo? majibu utakuwa nayo mchungaji
Mchungaji una shauri chama kiwe na mshina toka kijijini hadi mkoani hivyo umeona kama hiyo ndio njia pekee yakuondoa ufisadi katika nchi hii? umefanya utafiti liability ya kumaintain huo mfumo?au una shauri bila kuwa na scietific research! Unafikiri kuondoa ufisadi nchi hii ina hitaji chama chenye wanachama wangapi? jaribuni kuwa logical jamani CCM ina wanachama wangapi naime pata kura ngapi pamoja na uporaji wa waziwazi ulio fanyika na tume au huelewi kilicho tokea?
Angalieni mnapo toa ushauri base yenu nini hasa!acheni kupotosha uma Please! huna utafiti unatoa ushauri wakubadirisha uongozi wa CDM baada yakuona nini eti kiongozi hana mvuto samahani mchungaji naomba nikukosoe mvuto hapo hapo anatafutwa mchumba hapo? tunahitaji uwezo wakuleta mabadiliko maisha yetu yawe safi.Nyie hamueleweki kwakuangalia sura ndio mnasema kiongozi mzuri mwaka 2005 wengine walisema eti mgombea wa chama fulani nichaguo la mungu leo wako wapi uliza kama wanajibu au watarudia tena kauli zile.
Nakataa kabisa ushauri wako