Chadema na ACT wakiungana ni wazi watapata mafanikio Uchaguzi ujao

Chadema na ACT wakiungana ni wazi watapata mafanikio Uchaguzi ujao

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Zito ndo anatakiwa amunge mkono TAL kwwny nafasi ya RAIS hapo upinzani utapata wabunge wwngi tutaichalenge CCM
 
Mnaichukulia poa ACT lakin Zanzibar wana majimbo mengi mnoo na uchaguzu huu ukifanyia ata uwe sio wa halali bado ACT itakuna majimbo mengi ya bunge kuliko ata iyo CCM wenyewe dola
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Mwambieni Lisu Asahau hilo

Fitna aliyomfanyia Zitto Kabwe na Duni Haji akiwa mwanasheria na makamu Mwenyekiti wa Chadema hadi wakaondoka Chadema wakiwa Chadema mwambieni hawajasahau

Lisu apambane na hali yake
 
Zito ndo anatakiwa amunge mkono TAL kwwny nafasi ya RAIS hapo upinzani utapata wabunge wwngi tutaichalenge CCM
Lisu yuko vizuri sana kutengeneza future enemies mmojawapo wa Future enemies aliowatengeneza ni Zitto kabwe na Duni Haji

Sasa 2025 hii imefika anarukia kila tawi la mti hana hela za kampeni za uraisi anawinda pesa xa wapemba wa ACT wazalendo ili atoke baada ya kuona matajiri wa Chadema wagharamia chaguzi waliokuwa mtandao wa Mbowe hawana mpango wa kumpa hata mia
 
Sisi
Lisu yuko vizuri sana kutengeneza future enemies mmojawapo wa Future enemies aliowatengeneza ni Zitto kabwe na Duni Haji

Sasa 2025 hii imefika anarukia kila tawi la mti hana hela za kampeni za uraisi anawinda pesa xa wapemba wa ACT wazalendo ili atoke baada ya kuona matajiri wa Chadema wagharamia chaguzi waliokuwa mtandao wa Mbowe hawana mpango wa kumpa hata mia
wanachama tupo tutachangia
 
Mwambieni Lisu Asahau hilo

Fitna aliyomfanyia Zitto Kabwe na Duni Haji akiwa mwanasheria na makamu Mwenyekiti wa Chadema hadi wakaondoka Chadema wakiwa Chadema mwambieni hawajasahau

Lisu apambane na hali yake
Sober up hivi umesikia ni Lissu ndio anamhitaji Zitto? Amka usingizini hayo unayokurupuka ni yako na chuki zako, tuonyeshe mchakati wote wa Zitto kigukuzwa CHADEMA tulikuwepo.
 
Lisu yuko vizuri sana kutengeneza future enemies mmojawapo wa Future enemies aliowatengeneza ni Zitto kabwe na Duni Haji

Sasa 2025 hii imefika anarukia kila tawi la mti hana hela za kampeni za uraisi anawinda pesa xa wapemba wa ACT wazalendo ili atoke baada ya kuona matajiri wa Chadema wagharamia chaguzi waliokuwa mtandao wa Mbowe hawana mpango wa kumpa hata mia

mkuu unataka kutwambia wachaga wamemsusia sasa anataka kujisogeza kwa wapemba?
 
Tatizo kubwa nikuwa CHADEMA wana viburi sana,so ni ngumu sana kupatikanwa umoja wa kweli, Maelezo ya LEMA juzi yameonesha wazi kuwa hakutakuwa na muungano.
 
Back
Top Bottom