Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Act ilishajifia ndio iungane na chadema?Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.
Zitto ni PANDIKIZI na yuko kwenye payroll.. Atauza siri zoteNawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.
Unaungana na wahuni ambao Chama Chao kipo hai Tunduru, Kigoma na Pemba ?Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.
Hakuna muha mwenye msimamoZitto ni PANDIKIZI na yuko kwenye payroll.. Atauza siri zote
Unataka kumrudisha Mbowe kijanja sio?Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.
ACT ni tawi la CCM kama hawajipendi chadema wafanye hivyo.Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.
Kabisa, huu upuuzi wa kuungana umewaharibia sana cdm haiba yao.Kila wakati CHADEMA ikiungana na chama kingine, mwisho wa siku hicho chama hukisaliti CHADEMA?
Sasa CHADEMA wafanyaje?
Msaliti Zitto leo kawa mwema?Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.
Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.
Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.
Ushauli.