Chadema na ACT wakiungana ni wazi watapata mafanikio Uchaguzi ujao

Chadema na ACT wakiungana ni wazi watapata mafanikio Uchaguzi ujao

ACT wakiweza kum convince Mbowe awape wafuasi wake watakwenda kuisumbua sana CHADEMA
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Act ilishajifia ndio iungane na chadema?
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Zitto ni PANDIKIZI na yuko kwenye payroll.. Atauza siri zote
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Unaungana na wahuni ambao Chama Chao kipo hai Tunduru, Kigoma na Pemba ?

Unawezaje kukaa meza moja na Zitto na ukahisi uko salama ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Unataka kumrudisha Mbowe kijanja sio?
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
ACT ni tawi la CCM kama hawajipendi chadema wafanye hivyo.
 
Nawaza na kushauli pia, Lissu na Zitto waunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya Nchi ili pamoja na mambo mengine, waikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Mfano, Chadema wakubali kumuunga mkono Zitto awe Mgombea wa nafasi ya Rais. Vilevile wakubaliane kuachiana Majimbo kulingana na uungwaji wa Chama husika kwenye eneo husika.

Kwa hali halisi ilivyo, bado Chadema itavuna Wabunge wengi huku Muungano huo ukiwa na faida kwa kila upande.

Sioni sababu yeyote ya msingi ya kusubiri mtu atoke CCM ili awe Mgombea.

Ushauli.
Msaliti Zitto leo kawa mwema?
 
Back
Top Bottom