Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

Wadau, amani iwe kwenu.

CHADEMA na ACT Wazalendo sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamevurugikiwa na akili. Kuna msemo unaosema kuwa ukiwa na hasira au furaha iliyopitiliza usifanye maamuzi yoyote makubwa. Hilo CHADEMA hawajalizingatia.

Ni hivi, nimedokezwa na Wasiri wangu wa Kuaminika ndani ya CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa pamoja na mambo mengine kwenye kikao chao cha leo pale Mtaa wa Ufipa kwenye kijibanda cha Makao Makuu ya CHADEMA wanatangaza kujiondoa kwenye nafasi zote za Udiwani na nafasi moja ya Ubunge waliyoshinda kwenye uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020. Tayari Mbunge wa Nkasi, KHENANI ameshawishiwa kujiondoa na amekubali na anachosubiri ni tamko la leo.

Hayo yatakuwa maamuzi mabaya sana kuweza kuchukuliwa na vyama vya upinzani. Kususa kwao uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopita ndio umeleta Anguko Kuu kwenye uchaguzu Mkuu wa mwaka huu. Ni dhahiri kwamba maamuzi hayo yanaenda kuvifuta kabisa vyama hivyo kwenye ulingo wa siasa hapa nchini.

Sisi tunawachora tu kwa pembeni na tunawacheka Kwi kwi kwi kwiiiiiii

Hatimaye umeonekana. Kwa hisani ya VPN ya mabeberu.

Long live mabeberu wote!

Down na mkoloni mweusi!
 
Dunia inaenda kasi sana, yaani Shamsia Mtamba ndiye KUB 20-25!
20201030_231854.jpg
 
Naunga mkono hoja ya kujitoa ili kufanikisha shauku ya mfalme kurudi kuwa na mfumo wa chama kimoja.
Halafu tuone mapungufu ya nchi hasa ufukara uliotamalaki ccm itamsingizia nani kachelewesha.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

CHADEMA na ACT Wazalendo sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamevurugikiwa na akili. Kuna msemo unaosema kuwa ukiwa na hasira au furaha iliyopitiliza usifanye maamuzi yoyote makubwa. Hilo CHADEMA hawajalizingatia.

Ni hivi, nimedokezwa na Wasiri wangu wa Kuaminika ndani ya CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa pamoja na mambo mengine kwenye kikao chao cha leo pale Mtaa wa Ufipa kwenye kijibanda cha Makao Makuu ya CHADEMA wanatangaza kujiondoa kwenye nafasi zote za Udiwani na nafasi moja ya Ubunge waliyoshinda kwenye uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020. Tayari Mbunge wa Nkasi, KHENANI ameshawishiwa kujiondoa na amekubali na anachosubiri ni tamko la leo.

Hayo yatakuwa maamuzi mabaya sana kuweza kuchukuliwa na vyama vya upinzani. Kususa kwao uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopita ndio umeleta Anguko Kuu kwenye uchaguzu Mkuu wa mwaka huu. Ni dhahiri kwamba maamuzi hayo yanaenda kuvifuta kabisa vyama hivyo kwenye ulingo wa siasa hapa nchini.

Sisi tunawachora tu kwa pembeni na tunawacheka Kwi kwi kwi kwiiiiii
Matusi na kashfa katika huu uzi wako Ni mengi kuliko ujumbe uliokusudia kuuelezea. Nakushauri mambo haya ukawaambie jiwe, polepole, na bashiru. Yatawavutia mno kuliko humu.
 

Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Tuseme CDM kifutike. Wewe utanufaika na nini?
 
Tukibaki wenyewe tu tutakimbia sana. Nyie mlikuwa mnatuchelewesha
Mbona wapinzani walivyokuwa wakitoka bungeni mlikuwa mkibaki peke yenu mnapiga umbea tu?! hiyo ni tabia yenu, msijidanganye.
 
Inaweza ikaondoka Chadema au ACT lakini ni wapumbavu wachache wanaoweza kudhani eti wamemaliza upinzani nchini. Ukiufungia upinzani mlango wa kisiasa utakuja kwa mlango mwingine tofauti, unaweza kuwa mlango wa kheri au wa shari kwa sababu kwa nature ya wanadamu jinsi ilivyo lazima Upinzani uwepo.
 
hasira hasara ndiyo mjue kuwa hivyo siyo vyama mtu umehangaika kupiga kampeni umetumia garama halafu mpumbavu mmoja anakuja kukuambia ujivue ubunge uliopata karibuniccm wabunge wateule tutawarudisha tena bungeni
Leo mwaccm unamuonea huruma mbunge wa Chadema, hiyo ni huruma ya fisi.
 
Inaweza ikaondoka Chadema au ACT lakini ni wapumbavu wachache wanaoweza kudhani eti wamemaliza upinzani nchini. Ukiufungia upinzani mlango wa kisiasa utakuja kwa mlango mwingine tofauti, unaweza kuwa mlango wa kheri au wa shari kwa sababu kwa nature ya wanadamu jinsi ilivyo lazima Upinzani uwepo.
Mbona kila siku mnajitapa tu sasa si mje na hiyo heri kenge nyinyi
 
Sasa tatizo liko wapi? Si mlihitaji ushindi? Waleteeni Watz maendeleo hatutaki visingizio.
 
Back
Top Bottom