Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau, amani iwe kwenu.
CHADEMA na ACT Wazalendo sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamevurugikiwa na akili. Kuna msemo unaosema kuwa ukiwa na hasira au furaha iliyopitiliza usifanye maamuzi yoyote makubwa. Hilo CHADEMA hawajalizingatia.
Ni hivi, nimedokezwa na Wasiri wangu wa Kuaminika ndani ya CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa pamoja na mambo mengine kwenye kikao chao cha leo pale Mtaa wa Ufipa kwenye kijibanda cha Makao Makuu ya CHADEMA wanatangaza kujiondoa kwenye nafasi zote za Udiwani na nafasi moja ya Ubunge waliyoshinda kwenye uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020. Tayari Mbunge wa Nkasi, KHENANI ameshawishiwa kujiondoa na amekubali na anachosubiri ni tamko la leo.
Hayo yatakuwa maamuzi mabaya sana kuweza kuchukuliwa na vyama vya upinzani. Kususa kwao uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopita ndio umeleta Anguko Kuu kwenye uchaguzu Mkuu wa mwaka huu. Ni dhahiri kwamba maamuzi hayo yanaenda kuvifuta kabisa vyama hivyo kwenye ulingo wa siasa hapa nchini.
Sisi tunawachora tu kwa pembeni na tunawacheka Kwi kwi kwi kwiiiiiii
Matusi na kashfa katika huu uzi wako Ni mengi kuliko ujumbe uliokusudia kuuelezea. Nakushauri mambo haya ukawaambie jiwe, polepole, na bashiru. Yatawavutia mno kuliko humu.Wadau, amani iwe kwenu.
CHADEMA na ACT Wazalendo sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamevurugikiwa na akili. Kuna msemo unaosema kuwa ukiwa na hasira au furaha iliyopitiliza usifanye maamuzi yoyote makubwa. Hilo CHADEMA hawajalizingatia.
Ni hivi, nimedokezwa na Wasiri wangu wa Kuaminika ndani ya CHADEMA na ACT Wazalendo kuwa pamoja na mambo mengine kwenye kikao chao cha leo pale Mtaa wa Ufipa kwenye kijibanda cha Makao Makuu ya CHADEMA wanatangaza kujiondoa kwenye nafasi zote za Udiwani na nafasi moja ya Ubunge waliyoshinda kwenye uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020. Tayari Mbunge wa Nkasi, KHENANI ameshawishiwa kujiondoa na amekubali na anachosubiri ni tamko la leo.
Hayo yatakuwa maamuzi mabaya sana kuweza kuchukuliwa na vyama vya upinzani. Kususa kwao uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopita ndio umeleta Anguko Kuu kwenye uchaguzu Mkuu wa mwaka huu. Ni dhahiri kwamba maamuzi hayo yanaenda kuvifuta kabisa vyama hivyo kwenye ulingo wa siasa hapa nchini.
Sisi tunawachora tu kwa pembeni na tunawacheka Kwi kwi kwi kwiiiiii
CCM ndo wenye Tanzania yetu. Nyie wengine ni vibaraka wa mabepari tu
Tuseme CDM kifutike. Wewe utanufaika na nini?Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Club ya Chelsea ilipofanya vibaya viongozi wake waliwajibishwa ,pia Arsenal viongozi wake waliwajibishwa na sasa hizo timu zinafanya vizuri baada ya kuingia uongozi mpya. Uongozi ni dhamana na uongozi ni matokeo ,kama uongozi wako umekosa ubunifu na unaleta matokeo yanayotishia uhai wa taasisi...www.jamiiforums.com
Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
Mbona wapinzani walivyokuwa wakitoka bungeni mlikuwa mkibaki peke yenu mnapiga umbea tu?! hiyo ni tabia yenu, msijidanganye.Tukibaki wenyewe tu tutakimbia sana. Nyie mlikuwa mnatuchelewesha
Cheki zile sura zao kama wameramba ndimu, losers [emoji16][emoji23]Dunia inaenda kasi sana, yaani Shamsia Mtamba ndiye KUB 20-25!
View attachment 1616397
Kuna faida ya ushoga kufutika?Tuseme CDM kifutike. Wewe utanufaika na nini?
Walikuwa wanataka hazina eti! Sijui wanatuchukuliaje yaani...Cheki zile sura zao kama wameramba ndimu, losers [emoji16][emoji23]
Leo mwaccm unamuonea huruma mbunge wa Chadema, hiyo ni huruma ya fisi.hasira hasara ndiyo mjue kuwa hivyo siyo vyama mtu umehangaika kupiga kampeni umetumia garama halafu mpumbavu mmoja anakuja kukuambia ujivue ubunge uliopata karibuniccm wabunge wateule tutawarudisha tena bungeni
Mbona kila siku mnajitapa tu sasa si mje na hiyo heri kenge nyinyiInaweza ikaondoka Chadema au ACT lakini ni wapumbavu wachache wanaoweza kudhani eti wamemaliza upinzani nchini. Ukiufungia upinzani mlango wa kisiasa utakuja kwa mlango mwingine tofauti, unaweza kuwa mlango wa kheri au wa shari kwa sababu kwa nature ya wanadamu jinsi ilivyo lazima Upinzani uwepo.
Kambi itakuwepo tu, kuna vyama vineoata kura zitajazoeapa wabunge wa viti maalumKaka Mimi nipo CCM,..ila kukosekana kwa kambi rasmi bungeni..mambo hayatanoga..