Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

IMG_20201031_080916.jpg


View attachment 1616401
 
Hata CCM itakufa kwani itafanya siasa na nani?
 
Akili ya kilumumba ni ya KUKU

Hivi Nyerere alipovifuta vyama vyengine baada ya uhuru , ndio vilifutika ??

Mbona viliporuhusiwa na Mwinyi , vilizuka upya ??

HUU NDIO MWISHO WA KUFUTIKA CCM , kama vilivyofutika vyama vya kikomunisti Eastern Europe
 
hasira hasara ndiyo mjue kuwa hivyo siyo vyama mtu umehangaika kupiga kampeni umetumia garama halafu mpumbavu mmoja anakuja kukuambia ujivue ubunge uliopata karibuniccm wabunge wateule tutawarudisha tena bungeni
Hatuhitaji Ubunge wa Hisani toka ccm. Lkn onyo msije mkakimbilia kusema tuweni "Wazalendo kwa Nchi Yetu"
 
Hapo Zitto na Mbowe wameona wivu kwa waliopata na wao kukosa ,sema walioshinda hawatakubali
 
Kama Magufuli ameshinda kihalali atatawala miaka mitano yote. Lakini ole wake... kama amefanya njama na kusababisha watu wote waliokufa basi atakufa kifo cha ghafla kabla hajamaliza kipindi chake. Ukitaka kopi haya maneno uyahifadhi!
 
Hichi kibabu Lizaboni kilikua wapi jameni,nilijua kimekufa lol[emoji52].Wacha kiherehere pilipili ipo shamba inakuwashia nini..hata wakijitoa utafaidika na nini?
 
Waache uselfish.. Walipokuwa wanashinda kina Mbowe, walikuwa hawajitoi.. Leo ugali umehama kina Mbowe wanakua na roho ya kwa nini!
Hata wakijitoa, maadam akaunt namba zao zipo, wataendelea kuingiziwa mshahara kwa kipindi chote cha miaka mitano na hakuna uchaguzi ambao utafanyika.
By the way, sheria haitambui maamuzi yanayofanywa kwa dures, coercion au undue influence.
 
Mbona umeandika kama unapapaswa? Punguzeni ushabiki kwenye mambo ya maana mtavalishwa magauni!
 
Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe ,Msigwa ,Lema ,Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida !
Unalinda kura kwa sababu kuna mwizi wa kura ambaye unamaanisha ni CCM..
Wewe jamaa ni mpumbavu sana
 

Kwa matokeo haya, uongozi mzima wa CHADEMA unapaswa kujitathmini na kuachia madaraka
watakaoliona hili ni wachache sana.
 
Wacha wajitoe mbaki peke yenu na aibu zenu, sasa mtachekwa na dunia yote, hamna tena kichaka cha kujificha.

Good move.
Thats where CHADEMA is missing the point. "mtachekwa na dunia" ooh my dear dunia haina muda wa kuangalia hayo na kucheka dunia itaendelea as if nothing happened. Watu wana issue zao zingine za muhimu. Viva MAGU
 
Ni hivi, nimedokezwa na Wasiri wangu wa Kuaminika ndani ya CHADEMA na ACT
Usiwachonganishe. Siyo kwamba umedokezwa hilo liko bayana. Hakuna mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na uchafuzi huu.

Kaeni wenyewe kwenye bunge ili mpate connection nchi nzima, jiwe kasema hataki magunzi kwenye tochi.
 
Thats where Chadema missing the point. "mtachekwa na dunia" ooh my dear dunia haina muda wa kuangalia hayo na kucheka dunia itaendelea as if nothing happened. Watu wana issue zao zingine za muhimu. Viva MAGU
Mtu wa kuogopa kuchekwa na dunia ni jiwe. Sasa kama umeshindwa kumshauri jiwe ili asichekwe, unapata wapi haki ya kuwashauri CHADEMA na ACT??
 
Back
Top Bottom