Unashangaa nini watu kutofautiana mitazamo? mbona hata ndani ya vyama wanachama hutofautiana sembuse nje ya vyama?!
Amsheni akili zenu.
Thread zako nyingi huwa nyepesi nyepesi sana, mara nyingi hauna logic bwashee, unazunguka zunguka tu kama mtoto, shukuru Mungu huwa tunajitahidi kukujibu hivyo hivyo tu.