Hayo malumbano yamekaa kimarekani mmetutoa Ukrane mkatupeleka gaza na sasa mnatuelkeza Iran.
Muungano uwepo usiwepo tunahitaji tume huru ya Uchaguzi,mmetutoa kwenye Katiba mkatupeleka kwenye bandari sasa dira inaonyesha mnatupekecha kwenye Muungano.
Uchaguzi umebakia miezi tu ,hatuoni fununu za kutaka au kudai Tume huru za Uchaguzi ,
Naviuliza vyama vya siasa kwa nini agenda hii hamuivalii njuga ?
Natoa mwezi mmoja kama hamkuipa kipau mbele nitaipigia kura CCm na kushajihisha waTanzania walio wengi wafanye hivyo.
Kwani inaonekana kukaa kwenu kwenye vyama vya upinzani kuna faida mnaipata nyinyi viongozi tu ,wananchi wanabaki kuburuzwa na sasa wanaburuzwa kwenye viunga vya muungano.
Muungano uwepo usiwepo tunahitaji tume huru ya Uchaguzi,mmetutoa kwenye Katiba mkatupeleka kwenye bandari sasa dira inaonyesha mnatupekecha kwenye Muungano.
Uchaguzi umebakia miezi tu ,hatuoni fununu za kutaka au kudai Tume huru za Uchaguzi ,
Naviuliza vyama vya siasa kwa nini agenda hii hamuivalii njuga ?
Natoa mwezi mmoja kama hamkuipa kipau mbele nitaipigia kura CCm na kushajihisha waTanzania walio wengi wafanye hivyo.
Kwani inaonekana kukaa kwenu kwenye vyama vya upinzani kuna faida mnaipata nyinyi viongozi tu ,wananchi wanabaki kuburuzwa na sasa wanaburuzwa kwenye viunga vya muungano.