CHADEMA na CCM wameungana kupinga suala la bandari kubinafsishwa?

CHADEMA na CCM wameungana kupinga suala la bandari kubinafsishwa?

Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.

Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?

Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.

Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Kama ni wezi mbona hawajakamatwa ?
 
Sidhani Mbowe alijipa muda wa kufikiria kabla ya kutoa tamko lile la Utanganyika na Uzanzibari
Tatizo la Mwenyekiti huyu anajaribu kupita kiasi kuwa relevant Baada ya hoja zake za mikutano ya hadhara na katiba mpya kufanyiwa kazi, sasa anatafuta jipya.
Kwa kukosa maono sahihi ya vyama shindani majizi ya CCM yataendelea kututawala sio hiyo miaka mia bali milele.
Wewe unaemlaumu Mbowe wewe binafsi umeleta impact gani kuwazuia CCM kupora rasilimali za nchi?
 
Hapana. Wezi weusi ni wabaya sana. Wanatuchelewesha
Nilikuwa nadhani una akili kumbe hamna kitu. Watu wanazungumzia yaliyomo katika mkataba halafu wewe unakurupuka na uharo wako hapa.
 
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.

Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?

Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.

Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Kwa hiyo Watanzania woote ni wezi kama unavyodai?

Nipe uhakika kuwa mgeni ataanza kuzingatia maslahi yako kabla ya kwake.

Unatukashifu kwa sababu mmeingia mkataba wa kipuuzi
 
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.

Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?

Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.

Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Mwanaccm anayelalamika ni yule asiye na nyuma wala mbele....the rest wanaunga mkono.
 
Wewe mleta mada ni **ma ya mama yako!
Itoshe tu kukuambia hivyo!

Umeusoma huo mkataba na vipengele vyake au umepigwa kimoja ukatoka bila hata kuvaa c*u*i na kuja kuleta umalaya wako humu?
 
Wewe unatepinga bandari kubinafsisha ni mnufaika wa wizi unaoendelea bandarini. Yaani mtu mmoja anachote milioni 200 kwa siku moja halafu tuendelee kuwaangalia tu?? Haiwezekani.
Hivi unaakili kweli?badala ya kuweka mifumo imara ya kusimamia bandari nyie mnawapa waarabu kwa mkataba wa kimangungo.
 
Wewe unatepinga bandari kubinafsisha ni mnufaika wa wizi unaoendelea bandarini. Yaani mtu mmoja anachote milioni 200 kwa siku moja halafu tuendelee kuwaangalia tu?? Haiwezekani.
Watu hawapingi bandari kubinafsishwa. Kinachopingwa hapa ni utaratibu uliotumika kupata huyo mwekezaji na masharti yaliyokuwemo katika huo mkataba. Lakini sishangai. Mlisema CDM ni wanafik kwa kupinga ununuzi wa ndege wakati wao walipinga utaratibu uliotumika kununua hizo ndege!

Amandla...
 
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.

Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?

Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.

Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Tangu lini mtu akajiita SEXLESS akawa na akili timamu?
 
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.

Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?

Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.

Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?

Kitu cha heri, hata siku moja hakishawishiwi kwa rushwa. Kama ni jambo la heri, kwa nini mwekezaji awahonge wabunge na waandishi wa habari?

Hakuna mtu yeyote mwenye akili nzuri na dhamira njema anayeweza kupinga partnership ya aina yoyote yenye manufaa kwa pande zote.

Lakini hii proposed partnership ya bandari, hata bila ya kuangalia content yake, imeanza vibaya kwa kutanguliza rushwa kwa wafanya maamuzi. Kama dhamira ni njema, kabla ya lolote, kwa upande wa Tanzania, wabunge wote waliopokea rushwa wakamatwe na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. Kwa upabde wa nchi mwekezaji, wote waliohusika na utoaji rushwa wakamatwe na ithibitike wazi wamechukuliwa hatua na wasihusike kwa lolote kwenye mkataba. Baada ya hapo ndipo mazungumzo yaanze upya.
 
Bora waibe watanganyika kuliko bandari zetu zitajirishe waarabu
Uwekezaji ni win win situation......pande mbili lazima zinufaike...

Watatajirika Waarabu na waswahili
 
Kitu cha heri, hata siku moja hakishawishiwi kwa rushwa. Kama ni jambo la heri, kwa nini mwekezaji awahonge wabunge na waandishi wa habari?

Hakuna mtu yeyote mwenye akili nzuri na dhamira njema anayeweza kupinga partnership ya aina yoyote yenye manufaa kwa pande zote.

Lakini hii proposed partnership ya bandari, hata bila ya kuangalia content yake, imeanza vibaya kwa kutanguliza rushwa kwa wafanya maamuzi. Kama dhamira ni njema, kabla ya lolote, kwa upande wa Tanzania, wabunge wote waliopokea rushwa wakamatwe na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. Kwa upabde wa nchi mwekezaji, wote waliohusika na utoaji rushwa wakamatwe na ithibitike wazi wamechukuliwa hatua na wasihusike kwa lolote kwenye mkataba. Baada ya hapo ndipo mazungumzo yaanze upya.
Watakamatwaje nawakati selkari ndio iliwapeleka Dubai [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Back
Top Bottom