Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kwanini ? Uwekezaji sio ukoloni wala uwizi acheni uoga.Haitawezekana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ? Uwekezaji sio ukoloni wala uwizi acheni uoga.Haitawezekana mkuu
Kama kuna watu wa namna hiyo, nani alitakiwa kuwachukulia hatua?Wewe unatepinga bandari kubinafsisha ni mnufaika wa wizi unaoendelea bandarini. Yaani mtu mmoja anachote milioni 200 kwa siku moja halafu tuendelee kuwaangalia tu?? Haiwezekani.
Swali zuri: haitawezekana watanzania kunufaika kwenyehuo mkataba Bali watakaonufaika niwatu wajuu mkataba ungekua wakutunufaisha usingekuja kipumbavu namasharti yakijinga kiasi hicho ukitaka kuprove haikuwepo sababu yakutumia rushwa kwamkataba utakaokua namanufaa kwe2Kwanini ? Uwekezaji sio ukoloni wala uwizi acheni uoga.
Niwepi hao? Nawakati walikaa bungeni kulijadili hilo nawakakubaliiNdani ya CCM bado kuna masalia ya wenye uzalendo wa dhati na nchi hii, hawa tutasimama nao.