southern trader
Member
- May 2, 2023
- 35
- 22
Ambacho hatukielewi hii ni NEO_colonialism under the umbrella of globalization hii issue yabandari italeta mtafaluko mkubwa nakuibua machafuko hapo baadaeKuna shida gani hiyo mtu kukamatwa, nakuhukumiwa miaka 100 na Kaz ngumu.
Kama ni wezi mbona hawajakamatwa ?Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Wewe unaemlaumu Mbowe wewe binafsi umeleta impact gani kuwazuia CCM kupora rasilimali za nchi?Sidhani Mbowe alijipa muda wa kufikiria kabla ya kutoa tamko lile la Utanganyika na Uzanzibari
Tatizo la Mwenyekiti huyu anajaribu kupita kiasi kuwa relevant Baada ya hoja zake za mikutano ya hadhara na katiba mpya kufanyiwa kazi, sasa anatafuta jipya.
Kwa kukosa maono sahihi ya vyama shindani majizi ya CCM yataendelea kututawala sio hiyo miaka mia bali milele.
Nilikuwa nadhani una akili kumbe hamna kitu. Watu wanazungumzia yaliyomo katika mkataba halafu wewe unakurupuka na uharo wako hapa.Hapana. Wezi weusi ni wabaya sana. Wanatuchelewesha
Kwa hiyo Watanzania woote ni wezi kama unavyodai?Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Tatizo lawatu wanathamin Sana langi nyeupe kamanduguzao iviiiNilikuwa nadhani una akili kumbe hamna kitu. Watu wanazungumzia yaliyomo katika mkataba halafu wewe unakurupuka na uharo wako hapa.
Unayemuuliza usikute ndo CCM AsaliWewe unaemlaumu Mbowe wewe binafsi umeleta impact gani kuwazuia CCM kupora rasilimali za nchi?
Atakumbukwa muuwaji,jiwe,muongo,mdini,mkabilaWizi mtupu, mtamkumbuka magufuli
Mwanaccm anayelalamika ni yule asiye na nyuma wala mbele....the rest wanaunga mkono.Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Haitokaa itokeeWizi mtupu, mtamkumbuka magufuli
Hivi unaakili kweli?badala ya kuweka mifumo imara ya kusimamia bandari nyie mnawapa waarabu kwa mkataba wa kimangungo.Wewe unatepinga bandari kubinafsisha ni mnufaika wa wizi unaoendelea bandarini. Yaani mtu mmoja anachote milioni 200 kwa siku moja halafu tuendelee kuwaangalia tu?? Haiwezekani.
Mkuu Tanzania elim HAITUSAIDI huyo jamaa hanaakilii kabisa yaniHivi unaakili kweli?badala ya kuweka mifumo imara ya kusimamia bandari nyie mnawapa waarabu kwa mkataba wa kimangungo.
Watu hawapingi bandari kubinafsishwa. Kinachopingwa hapa ni utaratibu uliotumika kupata huyo mwekezaji na masharti yaliyokuwemo katika huo mkataba. Lakini sishangai. Mlisema CDM ni wanafik kwa kupinga ununuzi wa ndege wakati wao walipinga utaratibu uliotumika kununua hizo ndege!Wewe unatepinga bandari kubinafsisha ni mnufaika wa wizi unaoendelea bandarini. Yaani mtu mmoja anachote milioni 200 kwa siku moja halafu tuendelee kuwaangalia tu?? Haiwezekani.
Tangu lini mtu akajiita SEXLESS akawa na akili timamu?Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Akumbukwe kwa lipi?Pambaff!Wizi mtupu, mtamkumbuka magufuli
Uwekezaji ni win win situation......pande mbili lazima zinufaike...Bora waibe watanganyika kuliko bandari zetu zitajirishe waarabu
Watakamatwaje nawakati selkari ndio iliwapeleka Dubai [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Kitu cha heri, hata siku moja hakishawishiwi kwa rushwa. Kama ni jambo la heri, kwa nini mwekezaji awahonge wabunge na waandishi wa habari?
Hakuna mtu yeyote mwenye akili nzuri na dhamira njema anayeweza kupinga partnership ya aina yoyote yenye manufaa kwa pande zote.
Lakini hii proposed partnership ya bandari, hata bila ya kuangalia content yake, imeanza vibaya kwa kutanguliza rushwa kwa wafanya maamuzi. Kama dhamira ni njema, kabla ya lolote, kwa upande wa Tanzania, wabunge wote waliopokea rushwa wakamatwe na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. Kwa upabde wa nchi mwekezaji, wote waliohusika na utoaji rushwa wakamatwe na ithibitike wazi wamechukuliwa hatua na wasihusike kwa lolote kwenye mkataba. Baada ya hapo ndipo mazungumzo yaanze upya.
Haitawezekana mkuuUwekezaji ni win win situation......pande mbili lazima zinufaike...
Watatajirika Waarabu na waswahili