Bt makindas kusema wananchi wafundishwe jinsi ya kubet Si sahihi.Na hicho ndio hasa kinatengenezwa ili kujaribu kutafuta uungwaji mkomo toka kwa umma!
Ila ni bahati mbaya kwamba wananchi wa sasa ni waelewa wa kila kinachoendelea nchi hii.
Kama makindas kasema hivyo kupigwa na apigwe,
Mwigu kuwekeza ktk betting ni Hujuma Kwa vijana.
Tuyaangalie Kwa makini masuala haya.