CHADEMA na Udikteta Makao Makuu

CHADEMA na Udikteta Makao Makuu

wapi nimetetea JK? soma pstings zangu,********mbowe, unanifanya nikichukie chama cha chadema kuwa na wafuasi wajinga.


Mzee Kifimbo

Umesidiwa hoja sasa unaanza kumwaga mitusi. Hapa ni nguvu ya hoja bwana, sio hoja ya nguvu

Asha
 
Ndesamburo sio chairman na kaweza kumuweka mtoto wake kuwa mbunge

jee mhonga wakati anaingia ubunge alikuwa mke wa mtu na sasa ana mume gani?


Ndesamburo kamuweka mwanae kuwa mbunge kama alivyokuwa anampa u-director kwenye kampuni zake. Sasa wanakosea nini wanaolalamika kuwa Chadema inaendeshwa kama kampuni ya binafsi?? WanaCHADEMA mko wapi msioyaona haya??
 
Na wewe mbona ni ******* ya RO na umekuja kumtetea; kila mtu anajua na wewe ni****** RO na JK tangu ukiwa UK na hakuna anayesema kitu? Ni rushwa ya ngono ndio imekufikisha hapo. Ukinyoshea wengine kidole kimoja angalia vinne visikunyoshee wewe.

Wewe ndio mkabila namba moja humu.

Asante.

Bi senti Hamsini acha matusi namna hii, Kifimbo kamtetea Balozi Majaar ambaye ni mchagga ,sasa huo ukabila unakuja vipi?
Adm.
Naona matusi mazito aliyotoa senti 50 lakini umemfungia MK tu,au hawa ndio wenye JF yao?
 
Ndesamburo kamuweka mwanae kuwa mbunge kama alivyokuwa anampa u-director kwenye kampuni zake. Sasa wanakosea nini wanaolalamika kuwa Chadema inaendeshwa kama kampuni ya binafsi?? WanaCHADEMA mko wapi msioyaona haya??

NI Sacoss ya Wachagga kwani wewe hujui hilo? kalaghabaho
 
yaani na wewe una "kundi"? mwanamme unapenda kujivika ujiko hadi inatia aibu. Mwiteni rafiki yenu mswahili a.k.a chinga a.k.a mtalii aje ajibu hoja za ukabila wake hapa asikimbie.

asante.

Nani atakukimbia changudoa kama wewe? hujui kama Mnyika alinikimbia kwenye Tamko la Chadema.anayependa ujiko ni Mbowe kujifanya kwenda kusoma huku kichwani mtupu. kuchukua mkopo NSSF na kushindwa kuulipa hadi mke wake akasombwa hadi mahakani.
 
Majibu yote yamejibiwa na Karugendo na wengine hapa na usianze kumsakama Asha bure maana hata wewe hujajibu swali kama ccm ni chama cha kiislam au la!

Mwenyekiti alikuwa Mkapa-mkristu, waziri mkuu -Sumaye mkristu,makamu wa mwenyekiti Taifa-Malecela mkrsitu,Katibu mkuu ofisi ya rais-Lumbanga mkrisitu, katibu mkuu wa CCM-Mangula-, mwenyekiti umoja wa vijana-nchimbi mkristu, katibu mkuu umoja wa vijana mkristu,naibu katibu mkuu mkristu,makatibu wa mikoa na wilaya hadi sasa wakrsitu kwa asilimia 70. wenyeviti wa mikoa na wilaya wakrsitu kwa asilimia 80 hadi sasa. kama ni udini tusema chama cha wakrisitu.

hutaki kuhalalisha ukabila kwa kumuonesha mwenzio kuwa nae mchafu kama mimi.
 
Mswahili na swahiba wako,
Jamani mbona nashindwa kuelewa madai yenu?...
Hawa watu mnaodai kuwa wameteuliwa Kikabila mara Rostam sio mwarabu, haya naona na Dewji ndani yaani siwaelewi..mnakwenda wapi ktk kujieleza!
Hawa wabunge sita tena wanawake mnaowapigia kelele je mnaweza kunipa majina ya watu wengine wagombea ambao walitakiwa kuchukua nafasi hizo?
Sawa swala lenu limenigusa kidogo lakini nahitaji maelezo na vigezo vinavyoweza kusherehesha madai haya zaidi ya kunyoosha vidole kama yaleyale ya Ridhwan. Kama hakuna ushahidi nje ya dhana yenu nadhani tutakuwa hatuwezi kuijenga Chadema bali tunatafuti Fitna kujenga majungu yasiyokuwa na kipimo hali vyote nyie pamoja na familia zetu hamtaki kuingia Chadema kwa sababu ya mwenge wa Uhuru ulokwisha wamulika.

Kila naposoma hoja zenu zinaelemea zaidi ktk ushabiki kiasi kwamba itafikia wakati hata timu ya Mpira ya Taifa itachaguliwa kutokana na makabila ya watu ama mikoa kwa sababu mwenye kuona ukabila siku zote huwazia Ukabila hata kama haupo...
Niashangaa imefikia hata kutoa ajira kwa mwanao ni Ukabila..hivi kweli tutaweza mfumo huu wa Ubepari kwa tafsiri za namna hii..
 
Mswahili na swahiba wako,
Jamani mbona nashindwa kuelewa madai yenu?...
Hawa watu mnaodai kuwa wameteuliwa Kikabila mara Rostam sio mwarabu na kadhalika mnakwenda wapi ktk kujieleza!
Hawa wabunge sita tena wanawake mnaowapigia kelele je mnaweza kunipa majina ya watu wengine wagombea ambao walitakiwa kuchukua nafasi hizo?
Sawa swala lewnu limenigusa kidogo lakini kama hakuna ushahidi nje ya dhana yenu nadhani tutakuwa hatuwezi kuijenga Chadema bali tunatafuti Fitna kujenga majungu yasiyokuwa na kipimo hali vyote nyie pamoja na familia zetu hamtaki kuingia Chadema kwa sababu ya mwenge wa Uhuru ulokwisha wamulika. Kila naposoma hoja zenu zinaelemea zaidi ktk ushabiki kiasi kwamba itafikia wakati hata timu ya Mpira ya Taifa itachaguliwa kutokana na makabila ya watu ama mikoa kwa sababu mwenye kuona ukabila siku zote huwazia Ukabila hata kama haupo...
Niashangaa imefikia hata kutoa ajira kwa mwanao ni Ukabila..hivi kweli tutaweza mfumo huu wa Ubepari kwa tafsiri za namna hii..

Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini nawaheshimu walioweza kufikia uamuzi wa kuwa wanachama wa chama fulani. Tahadhari tu ni kwamba huu ushabiki wa vyama kwa wanachama husika usifikie kuanza kuondoa mshikamano katika kulinusuru taifa letu. Tukubali kutofautiana kimawazo na pale hoja ya upande mmoja inapokuwa na uzito tusisite kukubali ukweli.

Sio siri kwamba CCM imeshindwa kuendesha nchi....hilo liko wazi, na kwamba CCM bado ndio chama chenye wanachama wengi ambapo si rahisi kuwatoa madarakani katika muongo mmoja (hasa kwenye kiti cha urais).

Sio siri kuwa vyama vya upinzani vimetoa changamoto ya kipekee katika kufichua uovu ndani ya serikali ya chama cha mapinduzi hasa 2000-2005. Bila wao bila shaka hii nchi ingeshauzwa bila sisi kujua na mgao tusingepata. Changamoto kubwa ndani ya vyama vya upinzani ni kujiimarisha hasa katika maeneo ya waliyopo wapiga kura wengi (vijijini) ili kupata support kutoka kwao na hatimae kuchukua nchi.

Si busara kutukana matusi badala ya kujibu hoja kwa hoja (refer Mwanakijiji). Tuvumiliane tujenge Taifa letu, bila kutofautiana kifikra hatutajenga bali kubomoa. Lets fight without calling names.
 
Hii ni muhimu unapoongelea alternative kwa wananchi lazima uwe na uhakika kuwa hiyo alternative ni safi ndo maana kama kuna lolote baya au zuri kwenye vyama vya upinzania lazima lijadiliwe sambamba na mabaya na mazuri ya CCM

Jambo moja ambalo Jaco na Kubwajinga wanapotosha ni hili:

1. Hawakosoi Chadema kusaidia taifa au kuatafuta alternative. Kama wangekuwa na nia hiyo wasingeiandama Chadema tu, bali wangezijadili TLP, CUF, NCCR-Mageuzi, UDP na vyama vingine. Sisi tunaijua kinachoendelea ndani ya system tunajua kazi wanayofanya hawa vijana. Kwa kujua au bila kujua, wanafanya KAZI CHAFU!!!!

2. Kwa kuwasoma vizuri (between the lines), mtu yeyote atagundua kwamba wana UKABILA ndani yao, ila wanaufunua kwa kushambulia makabila ya wengine. Ni bahati mbaya kwao kwamba Chadema kina NGUVU kubwa Kilimanjaro, Tarime, Karatu, Kigoma na Mpanda Kati. Ni bahati nzuri kwa CCM kwamba Chadema kina jimbo MOJA tu Uchagani - Moshi Mjini!

Jaco na Kubwajinga hawatazami personal charisma ya viongozi wa chama, wanatazama makabila yao. Hawaoni mweleko wa chaka kukua na kusambaa nchi nzima, wao wanaona kinajifinya tu kwenye Uchaga. Kikubwa kwao ni zile nafasi chache za uongozi zinazoshikiliwa na viongozi waliozaliwa (kwa mapenzi ya Mungu) Wachagga.

3. Sijui Kubwajinga ana maslahi gani na 'viti maalumu' vya Chadema, maana wanawake wenyewe waliokuwa wanavilalamikia (kina Chiku Abwao) walishanyamaza baada ya hasira za kukosa ubunge kuisha, hasa baada ya maelezo.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa maelezo hayo yalishatolewa na Mnyika hapa hapa JF. Huyu anayelileta hili sasa na matatizo yake na malengo yake.

Hebu tuwajadili wabunge hao:

1. Ndesamburo alishinda kwenye kura. Tulitaka awe Mzaramo?
2. Zitto alishinda kwenye kura. Naye Mchagga?
3. Wangwe alishinda kwenye kura. Si Mkurya huku?
4. Said Arfi alishinda kwa kura. Naye ni Mchagga?
5. Dk. Slaa alishinda kwa kura. Mchagga?

VITI MAALUMU (kwa nafasi zao)

6. Grace Kiwelu. Aliteuliwa na mkutano mkuu wa Chadema kwa sifa moja. Alikuwa mbunge pekee wa kike wa chama hicho (2000-2005) ambaye alitoa mchango mkubwa wa muda na raslimali kukikuza chama na kukieneza nchi nzima. Hata kalbaya uchaguzi Mkuu, wajumbe wa mkutano mkuu waliahidi kwamba iwapo ingetokea mnafasi moja tu ya viti maalumu APEWE GRACE. Uchagga wake unaingiaje hapa?

7. Anna Komu: Alikuwa mgombea mwenza wa urais. Busara pekee inatosha kueleza kwa nini alipata ubunge. Uchagga uko wapi hapa? Tulitarajia kama tungekuwa na katiba ya maana, hata wagombea urais wote na wenyeviti wa vyama vyenye wabunge wangepaswa kuwa automatically bungeni. Walio wengi bungeni na wenye madaraka hawataki. Chadema waliona busara kumpa mgombea mwenza nafasi hiyo. Kuna ubaya gani?

VITI MAALUM (kwa kugombea).

Hapa ilitegemea idadi ya kura za jumla kutoka kila mkoa.

8. Kilimanjaro ilitoa kura nyingi zaidi: Mgombea alikuwa Lucy, akapata Ubunge. Ana kosa gani?

9. Mkoa uliofuata ulikuwa Kigoma. Mgombea aliyeshinda alikuwa Mhonga; akapa ubunge. Ana kosa gani?

10. Dar es Salaam ikafuata kwa wingi wa kura. Mgombea mshindi alikuwa Halima Mdee. Ana kosa gani?

11. Katika taasisi: Elimu ya Juu alikuwa Susan lyimo. Akapita.

Hii inaonyesha kwamba tunajua kinachoendelea. Tazama michango ya wabunge hawa Bungeni. Wanajadili na kuibua hoja za kitaifa au za kikabila?

Sasa wanaozungumzia ukabila, watuambie wabunge hawa waliletwa tu na kupewa au waliondolewa dada zao waliostahili wakapewa wao kwa sababu ya ukabila? Halafu ni vema ieleweke kwamba Chadema tunayoijadili leo haikuwa hivi kabla ya uchaguzi mkuu. Wakati watu walikuwa wakikimbilia kugombea CCM kwa sababu ya ukubwa wa chama, wengi walivikimbia vyama vidogo. Hawa waliojitokeza kugombea na kupata ni mashujaa ambao hata huko nyumba waliamua kuwekeza katika kuvijenga vyama hivi vidogo.

Kubwajinga acha spinning. Ina maslahi gani ya taifa kuharibu hata hicho kidogo kilichopatikana katika kuchek nguvu za CCM. Unawabomoa Chadema kwa faida ya nani? Eti tunaangalia alternative kwa spinning? Acga hizo! Mkubwa wewe!
 
LUCY OWENYA.
Ni mtoto wa Ndasamburo hivyo jumla wanakuwa wabunge watano toka kilimanjaro.

Soma kwanza posting yangu hiyo hapo juu, ujue kila mtu alifikaje hapo alipo, na uje kila mkoa ulipataje mbunge. Nguvu ya kila mkoa katika uchaguzi mkuu ndiyo ili-determine nafasi ya mgombea. hao waligombea mikoa yenye nguvu, na kwa kiasi fulani walichangia nguvu hiyo kabla ya 2005. Umekula sumu ya spinning inakusumbua? Fanya utafiti, usisubiri kuokota hoja zilizo-spinned hapa JF. Tapika hiyo sumu!
 
Nani atakukimbia changudoa kama wewe? hujui kama Mnyika alinikimbia kwenye Tamko la Chadema.anayependa ujiko ni Mbowe kujifanya kwenda kusoma huku kichwani mtupu. kuchukua mkopo NSSF na kushindwa kuulipa hadi mke wake akasombwa hadi mahakani.

Aisee. Hii imenipita. Hebu nipe link ya mahali ambapo Mnyika amekukimbia. Nina hamu kweli ya kujua hizo issues ambazo Mnyika zimemkimbiza. Maana huyu mtoto anajifanya bingwa wa hoja na mijadala.

PM
 
Kweli CHADEMA ina kila sababu kijipanga upya, tunakuwa na wabunge 5 toka mkoa mmoja hii ni hatari sana, ndugu zangu CHADEMA tujipande tuepuke ukabila kwani tayari CHADEMA kimeshakuwa chaguo la Watanzania hivyo tembeeni mkijua mmechukua roho za Watanzania
 
Jambo moja ambalo Jaco na Kubwajinga wanapotosha ni hili:

1. Hawakosoi Chadema kusaidia taifa au kuatafuta alternative. Kama wangekuwa na nia hiyo wasingeiandama Chadema tu, bali wangezijadili TLP, CUF, NCCR-Mageuzi, UDP na vyama vingine. Sisi tunaijua kinachoendelea ndani ya system tunajua kazi wanayofanya hawa vijana. Kwa kujua au bila kujua, wanafanya KAZI CHAFU!!!!

2. Kwa kuwasoma vizuri (between the lines), mtu yeyote atagundua kwamba wana UKABILA ndani yao, ila wanaufunua kwa kushambulia makabila ya wengine. Ni bahati mbaya kwao kwamba Chadema kina NGUVU kubwa Kilimanjaro, Tarime, Karatu, Kigoma na Mpanda Kati. Ni bahati nzuri kwa CCM kwamba Chadema kina jimbo MOJA tu Uchagani - Moshi Mjini!

Jaco na Kubwajinga hawatazami personal charisma ya viongozi wa chama, wanatazama makabila yao. Hawaoni mweleko wa chaka kukua na kusambaa nchi nzima, wao wanaona kinajifinya tu kwenye Uchaga. Kikubwa kwao ni zile nafasi chache za uongozi zinazoshikiliwa na viongozi waliozaliwa (kwa mapenzi ya Mungu) Wachagga.

3. Sijui Kubwajinga ana maslahi gani na 'viti maalumu' vya Chadema, maana wanawake wenyewe waliokuwa wanavilalamikia (kina Chiku Abwao) walishanyamaza baada ya hasira za kukosa ubunge kuisha, hasa baada ya maelezo.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa maelezo hayo yalishatolewa na Mnyika hapa hapa JF. Huyu anayelileta hili sasa na matatizo yake na malengo yake.

Hebu tuwajadili wabunge hao:

1. Ndesamburo alishinda kwenye kura. Tulitaka awe Mzaramo?
2. Zitto alishinda kwenye kura. Naye Mchagga?
3. Wangwe alishinda kwenye kura. Si Mkurya huku?
4. Said Arfi alishinda kwa kura. Naye ni Mchagga?
5. Dk. Slaa alishinda kwa kura. Mchagga?

VITI MAALUMU (kwa nafasi zao)

6. Grace Kiwelu. Aliteuliwa na mkutano mkuu wa Chadema kwa sifa moja. Alikuwa mbunge pekee wa kike wa chama hicho (2000-2005) ambaye alitoa mchango mkubwa wa muda na raslimali kukikuza chama na kukieneza nchi nzima. Hata kalbaya uchaguzi Mkuu, wajumbe wa mkutano mkuu waliahidi kwamba iwapo ingetokea mnafasi moja tu ya viti maalumu APEWE GRACE. Uchagga wake unaingiaje hapa?

7. Anna Komu: Alikuwa mgombea mwenza wa urais. Busara pekee inatosha kueleza kwa nini alipata ubunge. Uchagga uko wapi hapa? Tulitarajia kama tungekuwa na katiba ya maana, hata wagombea urais wote na wenyeviti wa vyama vyenye wabunge wangepaswa kuwa automatically bungeni. Walio wengi bungeni na wenye madaraka hawataki. Chadema waliona busara kumpa mgombea mwenza nafasi hiyo. Kuna ubaya gani?

VITI MAALUM (kwa kugombea).

Hapa ilitegemea idadi ya kura za jumla kutoka kila mkoa.

8. Kilimanjaro ilitoa kura nyingi zaidi: Mgombea alikuwa Lucy, akapata Ubunge. Ana kosa gani?

9. Mkoa uliofuata ulikuwa Kigoma. Mgombea aliyeshinda alikuwa Mhonga; akapa ubunge. Ana kosa gani?

10. Dar es Salaam ikafuata kwa wingi wa kura. Mgombea mshindi alikuwa Halima Mdee. Ana kosa gani?

11. Katika taasisi: Elimu ya Juu alikuwa Susan lyimo. Akapita.

Hii inaonyesha kwamba tunajua kinachoendelea. Tazama michango ya wabunge hawa Bungeni. Wanajadili na kuibua hoja za kitaifa au za kikabila?

Sasa wanaozungumzia ukabila, watuambie wabunge hawa waliletwa tu na kupewa au waliondolewa dada zao waliostahili wakapewa wao kwa sababu ya ukabila? Halafu ni vema ieleweke kwamba Chadema tunayoijadili leo haikuwa hivi kabla ya uchaguzi mkuu. Wakati watu walikuwa wakikimbilia kugombea CCM kwa sababu ya ukubwa wa chama, wengi walivikimbia vyama vidogo. Hawa waliojitokeza kugombea na kupata ni mashujaa ambao hata huko nyumba waliamua kuwekeza katika kuvijenga vyama hivi vidogo.

Kubwajinga acha spinning. Ina maslahi gani ya taifa kuharibu hata hicho kidogo kilichopatikana katika kuchek nguvu za CCM. Unawabomoa Chadema kwa faida ya nani? Eti tunaangalia alternative kwa spinning? Acga hizo! Mkubwa wewe!

Kichwa,
Hizi sababu zote ulizotoa sio za msingi hata moja. Aliyezitengeneza alizifanya ziwe hizo ili apate hayo matokeo aliyokusudia au alizitengeneza baada ya kuchagua. Sio ajabu ingekuwepo nafasi ya 7 angeweza pia akasema tumpe yule aliyetoa mchango mkubwa chamani na wangemteua Mrs.Ndesamburo au Mtoto wa Mtei (Mrs. Mbowe) n.k. Kilichoko wazi hapa ni kuwa,
  1. Self interests ziliwazidi wahusika kiasi
  2. Au wali-overlook umuhimu wa kuleta uwiano wa uwakilishi chamani
  3. Au labda Chadema tunawaonea. Labda hakuna watu wa mikoa mingine ndani ya Chadema walio na qualification za kuwa wabunge, ambazo ni awe raia wa Tanzania, umri wa miaka 21 na ajue kusoma na kuandika. Hiki ni kichekesho kama walikosa wakinamama wa aina hii.
 
mmmmh kusoma na kuandika tu ziwe qualification za kuingiza watu bungeni!? hiyo ni simplification iliyokithiri! bunge hili lenye mawaziri fisadi na wabunge partisan nadhani hiyo haitoshi. una point hapa na mie nakuunga mkono, lakini hayo ulosema hapo juu ni NO, big fat NO.....hatuhitaji "modern day" Mangungos bungeni! c'mon now....

YNIM,

Huyo Kubwajinga ni alikuwa mwanachama wa CUF ila uongozi wa juu ukamtenga kwa sababu alikuwa na mawazo ya kidini sana. Alikuwa anapinga sana wanaCUF ambao sio waislam kwa visingizio vingi tu na uongozi wa juu ulivyomfahamu wakamtenga.

Yeye hapendi yeyote ambaye si muislam (hata kama anajifanya hapa kukisema CUF). Kina Seif na Lipumba wamestukia na hawamtaki. Amekuwa na ugomvi na Lipumba kwa vile CUF wako kwenye makubaliano na vyama vingine kuwa wasimamishe mgombea mmoja mwaka 2010 na kuna uwezekano kuwa akawa mgombea wa CHADEMA na ndio maana ameanza kukishambulia CHADEMA.

Alikuwa anasupport sana CHADEMA miaka ile wanaungana na CUF kwenye uchaguzi mkuu lakini chuki zake za kidini hazimruhusu kukubali kipindi hiki CHADEMA nao waungwe mkono kwenye uchaguzi mkuu.

Usione kuwa anapinga suala la upinzani kusimamisha mgombea wa uraisi kwenye uchaguzi mkuu wa 2010. kuna sababu maalumu na kama ukisoma nilichoandika hapo juu yake basi utajua what is going on.
 
Yuko bado Cuf? naomba umitumie PM,nilidhani yule wa CUF ambaye yuko CCM.
 
YNIM,

Huyo Kubwajinga ni alikuwa mwanachama wa CUF ila uongozi wa juu ukamtenga kwa sababu alikuwa na mawazo ya kidini sana. Alikuwa anapinga sana wanaCUF ambao sio waislam kwa visingizio vingi tu na uongozi wa juu ulivyomfahamu wakamtenga.

Yeye hapendi yeyote ambaye si muislam (hata kama anajifanya hapa kukisema CUF). Kina Seif na Lipumba wamestukia na hawamtaki. Amekuwa na ugomvi na Lipumba kwa vile CUF wako kwenye makubaliano na vyama vingine kuwa wasimamishe mgombea mmoja mwaka 2010 na kuna uwezekano kuwa akawa mgombea wa CHADEMA na ndio maana ameanza kukishambulia CHADEMA.

Alikuwa anasupport sana CHADEMA miaka ile wanaungana na CUF kwenye uchaguzi mkuu lakini chuki zake za kidini hazimruhusu kukubali kipindi hiki CHADEMA nao waungwe mkono kwenye uchaguzi mkuu.

Usione kuwa anapinga suala la upinzani kusimamisha mgombea wa uraisi kwenye uchaguzi mkuu wa 2010. kuna sababu maalumu na kama ukisoma nilichoandika hapo juu yake basi utajua what is going on.


Mkuu Mgaya,
Nafikiri kuwa CUF au CHADEMA sio dhambi as long as huendekezi siasa za misikitini au za ukabila. Ila ukiwa na free spirit na kuipenda nchi yako beyond huu ushabiki usio-ona kuwa kuna tofauti ya chongo na makengeza is even better.






.............................
 
YNIM,

Huyo Kubwajinga ni alikuwa mwanachama wa CUF ila uongozi wa juu ukamtenga kwa sababu alikuwa na mawazo ya kidini sana. Alikuwa anapinga sana wanaCUF ambao sio waislam kwa visingizio vingi tu na uongozi wa juu ulivyomfahamu wakamtenga.

Yeye hapendi yeyote ambaye si muislam (hata kama anajifanya hapa kukisema CUF). Kina Seif na Lipumba wamestukia na hawamtaki. Amekuwa na ugomvi na Lipumba kwa vile CUF wako kwenye makubaliano na vyama vingine kuwa wasimamishe mgombea mmoja mwaka 2010 na kuna uwezekano kuwa akawa mgombea wa CHADEMA na ndio maana ameanza kukishambulia CHADEMA.

Alikuwa anasupport sana CHADEMA miaka ile wanaungana na CUF kwenye uchaguzi mkuu lakini chuki zake za kidini hazimruhusu kukubali kipindi hiki CHADEMA nao waungwe mkono kwenye uchaguzi mkuu.

Usione kuwa anapinga suala la upinzani kusimamisha mgombea wa uraisi kwenye uchaguzi mkuu wa 2010. kuna sababu maalumu na kama ukisoma nilichoandika hapo juu yake basi utajua what is going on.

Uhhhuuu,

Mgaya, alikuwa CUF ila ni mwenye chuki za kidini na hataki wazo la wenzake CHADEMA Kuweka mgombea kwa sababu za kidini? JF ina data na vichwa. Hebu tumwagie file lake hapa tumchambue huyu mtu anayetaka kuirudisha Tanzania kwenye zama za mawe kwa chuki zake za kidini na kikabila.
 
Wakati huu tunapounganisha nguvu kupambana na mafisadi, ukijakuta huko mataahira yanaturudisha nyuma na vihoja vya kitoto, sijui ukabila, sijui udikteta, unashikwa na hasira kabisa. wengine naona wanaitwa na waandishi, sijui nani, ovyoo kabisa.
kama kuna shida zijadiliwe kwa ufundi.
Sasa kama sio utaahira, hawa watu wachache wa chadema na wengine wametusaidia tumewasha moto wa kimapinduzi nchi nzima, mpaka wanaccm wengine wametuunga mkono, ukiwakatisha tamaa kwa kwa kuandika limkichwa la habari hiloo, hatutarudi kulekule kweli...! sasa hivi tunamlinda kila tu anayetokea kuonyesha kutukomboa. Hata wabunge wa ccm ambao walikuwa mafisadi lakini sasa wametubu na wanachapa kazi sawasawa tunasaidiana nao kuleta ukombozi maana maaneleo ni yetu wote. issue hapa kama huyu sio taahira ajue ni kusonga mbele sio kurudi nyuma ilikuwa ilikwa..,wakati wa break tutatunza matatizo kama yapo???. sitaki kujua kama yapo sasa au la! Kubwa hapa ni kuwa upuzi huu ukaachwa kila mtu akaamka na kutufifishia nguvu majemedari wetu lazima tuupinge kwa nguvu zote.
Kwa threead hii nimekubali, ni utaahira huuhuu wa kutoona mbali umetufikisha hapa.
Nijuavyo hakuna chama perfect, sio democrats wala labour, sembuse chadema. Hii haimaanishi kuwa tusiwe navyo. Mahali kuna binaadamu siku zote sio mahali Perfect. The best ni kuwekana sawa kila wakati. Kuna waandishi sijui wamesomea wapi? Au ni hivi vyuo vya siku hizi - unakuta chuo kipo nyumbani kwa mtu na watu wanapeleka hapo watoto wao.

Mafisadi mwisho wao umefiaka......! hata wakitumia waandishi mataahira...!
 
Back
Top Bottom