Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ulirudishwa kwa ufisadi sasa utakoma kuringa maana kesi dhidi yako inaandaliwa! Watu kama wewe mnatumainiwa na serikali na kuwekwa nchi za nje kisha mnaaibisha watanzania.... grrrrr
bi mdogo kumbe na wewe unajua? utamkimbiza dada wa watu. Mwache atetee unga wake; anayetetea mafisadi na yeye ni fisadi. Haya carry on.