Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu, kwa jinsi hali ilivyo ukiachilia maneno ya wanaccm ,vyama vya upinzani vina nafasi kubwa ya kupata ushindi kwenye majimbo mengi
Nimejaribu kufanya observation maeneo mengi, wananchi wamekata tamaa na hali ya maisha yamekuwa ya uwoga msingi kitu ambacho kinaashiria kama vyama vya upinzani wangeanza kushughurikia tume huru kwanza kabla ya kukubali kuingia kwenye uchaguzi wangeweza pata matokeo makubwa kuliko uchaguzi wa 2015
Ila kwa tume hii wagombea wengi wataanza kuwekewa zengwe na kuondolewa kwenye hatua za awali tu, na hicho ndicho ninachokiona
Sasa kama vyama pinzani vimekubali (hapa nazungumzia vyama pinzani vinavyojitambua kama ACT nana kuingia kwenye uchaguzi na tume hii ya CCM kitakachowapata hatutaki kusikia vilio vyenu
Sisi wanachama tungefurahi kama mngeanza kushughurikia time huru kwanza, huu utawala hauna hata chembe ya aibu, na tunalo la kujifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, watendaji wa kata walio waondoa wagombea wa upinzani ndio hao hao watakao waondoa wagombea wa upinzani mwaka huu
Nimejaribu kufanya observation maeneo mengi, wananchi wamekata tamaa na hali ya maisha yamekuwa ya uwoga msingi kitu ambacho kinaashiria kama vyama vya upinzani wangeanza kushughurikia tume huru kwanza kabla ya kukubali kuingia kwenye uchaguzi wangeweza pata matokeo makubwa kuliko uchaguzi wa 2015
Ila kwa tume hii wagombea wengi wataanza kuwekewa zengwe na kuondolewa kwenye hatua za awali tu, na hicho ndicho ninachokiona
Sasa kama vyama pinzani vimekubali (hapa nazungumzia vyama pinzani vinavyojitambua kama ACT nana kuingia kwenye uchaguzi na tume hii ya CCM kitakachowapata hatutaki kusikia vilio vyenu
Sisi wanachama tungefurahi kama mngeanza kushughurikia time huru kwanza, huu utawala hauna hata chembe ya aibu, na tunalo la kujifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, watendaji wa kata walio waondoa wagombea wa upinzani ndio hao hao watakao waondoa wagombea wa upinzani mwaka huu