Ukisikia chama Cha matahila tupu,ndo hawa Sasa chadema.walitaka daimondi afanyaje !?,au walitaka naye awe mwanasiasa aachane na kazi yake ya muziki!? Yule ni musician ,na yuko ki biashara na yupo chini ya Management,ili afanye kazi na mtu/kampuni fulani anaangalia Kama mkataba unaompa ausaini je unamlipa kulingana na soko alilonalo kwenye kiwanda Cha muziki.sasa chadema ni wapumbavu na matahila tupu ,walitaka akubaliane na nao,kusaini mkataba nao azunguke nao kwenye kampeni,na awatungue nyimbo za kampeni,hata Kama Wana mpa mkataba wa hasara!?,ambao hauna faida kwake!?,mbowe ni mfanya biashara je yeye hukubali kufanya biashara za loss!? Ni matahila Sana hawa!,muziki ni biashara Kama biashara zingine!