CHADEMA ni balaa, Afisa wa makao makuu atoa Siri nzito za Mbowe

CHADEMA ni balaa, Afisa wa makao makuu atoa Siri nzito za Mbowe

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
1. Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha ili aje aisuke upya Makao Makuu ya CHADEMA maana imeyumba sana!

2. HQ ya Chama chetu inaendeshwa kimazoea sana; watu wenye fikra pevu hawawezi kudumu na kuonyesha uwezo. Hujuma ni nyingi kuliko kitu chochote. Tatizo linaanzia kwenye Secretariat!

3. Mwenyekiti Mbowe Hana uwezo wa kuwafanya chochote wanamumudu sana kwa sababu ni washikaji zake sana!

4. Uchaguzi huu linda taasisi na sio mtu/watu. Na Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo ni Tundu Lissu!

5. Kama wanabisha, nitaachia hadharani mpango kazi mzima wa kuipata TV ya Chama uliokwamishwa na hata email zao zote walizokuwa wanawasiliana na mwekezaji husika ninazo.

6. Tundu Lissu pekee ndiye anayeweza kuturekebishia utendaji wa hapa CHADEMA Makao Makuu.

Remigius Selestine,
Afisa wa IT - Chadema HQ.
 
1. Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha ili aje aisuke upya Makao Makuu ya CHADEMA maana imeyumba sana!

2. HQ ya Chama chetu inaendeshwa kimazoea sana; watu wenye fikra pevu hawawezi kudumu na kuonyesha uwezo. Hujuma ni nyingi kuliko kitu chochote. Tatizo linaanzia kwenye Secretariat!

3. Mwenyekiti Mbowe Hana uwezo wa kuwafanya chochote wanamumudu sana kwa sababu ni washikaji zake sana!

4. Uchaguzi huu linda taasisi na sio mtu/watu. Na Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo ni Tundu Lissu!

5. Kama wanabisha, nitaachia hadharani mpango kazi mzima wa kuipata TV ya Chama uliokwamishwa na hata email zao zote walizokuwa wanawasiliana na mwekezaji husika ninazo.

6. Tundu Lissu pekee ndiye anayeweza kuturekebishia utendaji wa hapa CHADEMA Makao Makuu.

Remigius Selestine,
Afisa wa IT - Chadema HQ.

Moja ya fundamental principle ya utumishi, usimponde boss wako anayeondoka kwa boss mpya ukitegemea boss mpya atakupeda.
 
Bogus!

Kama bado una amini kwamba mtu mmoja atakuja kufanya mabadiliko ya taasisi badala ya mfumo, basi wewe ni mjinga na mpumbavu kwa pamoja.
Kama mtu mmoja kiongozi mkuu ameonesha kutokuwa siriazi na watu wake wa chini hadi wamemzoea kishkaji na kuona wanammudu,unadhani ni kipi mtu mwingine awe kiongozi mkuu halafu ashindwe ku-sharpen the buds/kuirudisha taasisi imara mstarini?
 
Ukianza kuangalia kila avatar mbona hata yangu utaanza kuniita shangazi yako.Na vilevile utambue,id ya bezzecky imeleta makala aliyoandika Remigius.
Kwangu ni kitu kisichoingia akilini mwanaume kujitambulisha kwa sura ya mashangazi! Kwa hiyo hata wewe nakuona kama lishangazi ingawa naweza kuchukua kama watoto wako!
 
Back
Top Bottom