Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Na wapambe wa pande zote waone aibu kurushiana mawe!Mbowe na Lissu wakae chini huu uchaguzi usiwagawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wapambe wa pande zote waone aibu kurushiana mawe!Mbowe na Lissu wakae chini huu uchaguzi usiwagawe
Sure ni upumbavu snNa wapambe wa pande zote waone aibu kurushiana mawe!
Unaweza ukawa wewe ni Bogus zaidi Kwa sababu ya kushindwa kufikiri na kuwasilisha fikra tunduizi.Bogus!
Kama bado una amini kwamba mtu mmoja atakuja kufanya mabadiliko ya taasisi badala ya mfumo, basi wewe ni mjinga na mpumbavu kwa pamoja.
Tundu Lissu for Chadema, Tundu Lissu for Tanzania1. Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha ili aje aisuke upya Makao Makuu ya CHADEMA maana imeyumba sana!
2. HQ ya Chama chetu inaendeshwa kimazoea sana; watu wenye fikra pevu hawawezi kudumu na kuonyesha uwezo. Hujuma ni nyingi kuliko kitu chochote. Tatizo linaanzia kwenye Secretariat!
3. Mwenyekiti Mbowe Hana uwezo wa kuwafanya chochote wanamumudu sana kwa sababu ni washikaji zake sana!
4. Uchaguzi huu linda taasisi na sio mtu/watu. Na Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo ni Tundu Lissu!
5. Kama wanabisha, nitaachia hadharani mpango kazi mzima wa kuipata TV ya Chama uliokwamishwa na hata email zao zote walizokuwa wanawasiliana na mwekezaji husika ninazo.
6. Tundu Lissu pekee ndiye anayeweza kuturekebishia utendaji wa hapa CHADEMA Makao Makuu.
Remigius Selestine,
Afisa wa IT - Chadema HQ.
Yaani Lisu amnunue Msigwa, wakati yeye mwenyewe anavaa suruali ya kitambaa na raba.Msigwa kamnunua Lissu
KIUJUMLA CHADEMA YOTE HAIFAI IMEOZA CCM NDIYO CHAGUO PEKEE KUTOKA KWA MUNGU NA WANANCHI KWA UJUMLA NYIE ENDELEENI KWANZA KUGAWANA FITO HUKO1. Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha ili aje aisuke upya Makao Makuu ya CHADEMA maana imeyumba sana!
2. HQ ya Chama chetu inaendeshwa kimazoea sana; watu wenye fikra pevu hawawezi kudumu na kuonyesha uwezo. Hujuma ni nyingi kuliko kitu chochote. Tatizo linaanzia kwenye Secretariat!
3. Mwenyekiti Mbowe Hana uwezo wa kuwafanya chochote wanamumudu sana kwa sababu ni washikaji zake sana!
4. Uchaguzi huu linda taasisi na sio mtu/watu. Na Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo ni Tundu Lissu!
5. Kama wanabisha, nitaachia hadharani mpango kazi mzima wa kuipata TV ya Chama uliokwamishwa na hata email zao zote walizokuwa wanawasiliana na mwekezaji husika ninazo.
6. Tundu Lissu pekee ndiye anayeweza kuturekebishia utendaji wa hapa CHADEMA Makao Makuu.
Remigius Selestine,
Afisa wa IT - Chadema HQ.
Mtu mmoja anaweza fanya mabadiliko makubwa sana ikiwa yeye ndo CEO na ni center ya maamuzi,kwani hyo mifumo mpaka ibadilishwe pia inahitaji mtu mmoja mwenye maamuzi.Bogus!
Kama bado una amini kwamba mtu mmoja atakuja kufanya mabadiliko ya taasisi badala ya mfumo, basi wewe ni mjinga na mpumbavu kwa pamoja.
Huyu Msigwa yaelekea anakufikisha kileleni siyo kwa kumuimba huku. Ashindwe Abdul mwenye mabilioni aweze huyo kibaka ana madeni hadi kwenye kope. Anavyokupelekea moto basi unamuona ni jembe saana kwa kila kitu.Msigwa kamnunua Lissu
Huyu Msigwa yaelekea anakufikisha kileleni siyo kwa kumuimba huku.
Vuguvugu ari na nia njema huanzia kwa kiongozi (mwenyekiti)Bogus!
Kama bado una amini kwamba mtu mmoja atakuja kufanya mabadiliko ya taasisi badala ya mfumo, basi wewe ni mjinga na mpumbavu kwa pamoja.
Ukishafakamia mchemsho wa nguruwe unajiropokea tu huna ujualo.Ngoja Lissu awe mwwenyekiti ndiyo utajua kuwa hujuiMuulize Lissu
Hamna chama apo wewe Girigiri Katafute mahindi uko utafuneMbowe na Lissu wakae chini huu uchaguzi usiwagawe
UWT mbona mnaumia sn?Hamna chama apo wewe Girigiri Katafute mahindi uko utafune
Kwa hiyo hukuwa na sababu ya msingi kunizuia kumwita mama selestine wakati avatar yake ni mwanamke!Hiyo inaniathiri nini mimi kama hata kama wewe ambaye haujawahi kuniona ukadhani ni shangazi yako?
Sawasawa.Endelea na mengine sasa.Kwa hiyo tukae na hayohayo tuuuu muda wote.Kwa hiyo hukuwa na sababu ya msingi kunizuia kumwita mama selestine wakati avatar yake ni mwanamke!
Badala ya kuwa na makelele mengi yasiyo na msingi nadhani Lisu achaguliwe ili tuone atakavyowavusha hao Machadema wanaodai wamekwama.1. Kwa sasa! Tundu Lissu anatosha ili aje aisuke upya Makao Makuu ya CHADEMA maana imeyumba sana!
2. HQ ya Chama chetu inaendeshwa kimazoea sana; watu wenye fikra pevu hawawezi kudumu na kuonyesha uwezo. Hujuma ni nyingi kuliko kitu chochote. Tatizo linaanzia kwenye Secretariat!
3. Mwenyekiti Mbowe Hana uwezo wa kuwafanya chochote wanamumudu sana kwa sababu ni washikaji zake sana!
4. Uchaguzi huu linda taasisi na sio mtu/watu. Na Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo ni Tundu Lissu!
5. Kama wanabisha, nitaachia hadharani mpango kazi mzima wa kuipata TV ya Chama uliokwamishwa na hata email zao zote walizokuwa wanawasiliana na mwekezaji husika ninazo.
6. Tundu Lissu pekee ndiye anayeweza kuturekebishia utendaji wa hapa CHADEMA Makao Makuu.
Remigius Selestine,
Afisa wa IT - Chadema HQ.
Mkuu haya ya CHADEMA wewe hayakuhusu. Lakini nafurahi kukuona huku maana kule international forum umetukimbia baada ya matamanio yako kuyeyuka na yahudi kubaki peke yake na anafanya atakavyo. Pole sana. Una habari kwamba Israeli amerejea tena Golan heights?
Haohao waliotaka kumwua tena wamnunue basi Lisu atakuwa hana akili.