Chadema ni chama cha wahuni? wananchi kuitwa wajinga kisa wanamfuata Makonda ni kudhihirsha uhuni wao, wasusiwe haraka sana!

😎

Halafu nianze kwenda kwenye mikutano ya nani mkuu
 
Siyo kazi yangu kukushauri mkuu
Niende kwa wanaoshabikia uchawi wa kusabibisha ajali...! Uchawi ndio huo ujinga unaosababisha umasikini mkubwa, halafu chama hiko hiko chenye wasomi ndio kinachonadi uchawi na kuusherehekea??

Nani mjinga hapo mkuu
 
Tabu ya chadema huwa wabajiona wao ndio wapo sahihi saa zote na ukipinga mawazo yao basi unatukanwa na kwamba huna akili, hiki chama kimejaa wahuni naunga mkono hoja
 
Kwahiyo wanaowasapoti upinzani wao ni waerevu?
Hakuna cha werevu wala nini hapo mkuu

Chadema wanapigia makofi uchawi wa watu wa kusini kwa kusababisha ajali mbalimbali

Ukiwauliza, uchawi ni kuelimika au ujinga, watakwambia ni ujinga, iweje tena wafanye sherehe kufurahia ulozi ili hali ni ujinga?
 
Niende kwa wanaoshabikia uchawi wa kusabibisha ajali...! Uchawi ndio huo ujinga unaosababisha umasikini mkubwa, halafu chama hiko hiko chenye wasomi ndio kinachonadi uchawi na kuusherehekea??

Nani mjinga hapo mkuu
Mtu aliyetengeza tatizo Hawezi kuwa na suluhu yake hata mara moja
 
Kwani mkuu wanaochagua chama badala ya kiongozi Mzuri ipo kwa wanaccm tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…