CHADEMA ni vibaraka - Nape


Ingawa mimi sina chama chochote lakini kwa hili la Chadema bwana security guard umeongea la msingi sana. Mpaka sasa hivi hakuna chama cha kweli cha ushindani. CCM hawana mshindani wa kweli. Chadema wanaendesha mambo kama wanatumwa vile. Sijawaona wakionyesha uzalendo hasa kwa Taifa lao. Naona bado wana kazi sana ya kukifanya chama chao kiimalike na kujipatia watu wenye uwezo na moyo wa uzalenda na maarifa ya kiuongozi. Mpaka sasa hivi mimi binafsi bado sijaona mtu mwenye uwezo wa kuongoza Taifa. Labda yule kijana wetu Mheshimiwa Kabwe ndiye namuona kuwa na hekima ya kiutu uzima. Mimi nimevunjwa moyo na uchochezi na fujo zinazosimamiwa na viongozi wa hiki chama kwa kutumia neno "NGUVU YA UMMA" naona kama kuna ka upuuzi vile. Huwa najiuliza hivi kwani siasa ni lazima ziendeshwe kwa fujo? ukiendesha kiustarabu haziwi siasa za upinzani? kwani upinzani ni nini? si nitofauti ya mawazo tu? kwani ni kufanya fujo? mimi hata raha imeondoka kwa hivi vyama...
 
Warioba anaposema hapokei maoni ya helikopita anamanisha nini hasa?
 
Ndo napompendea nape hapo. Anawapa za uso bila kupepesa macho
 
Chadema hawatofautiani na MDC ya Morgan Tsvangirai. Baba yao Tonny Blair. Kitawakuta kama kilichowakuta Tsvangirai na Raila
 
ndiyo maana anaitwa nape nauye maana yake napepea naauye(kikwetu kokote kuelekea kubaya kuzuri naauye)
 

Acheni kushabikia kitu ambacho hakina manufaa kwa Taifa.Kuwaita CHADEMA kuwa ni vibaraka au wahuni ndiyo hicho ambacho Nape na CCM yake wametumwa na wananchi kwenda kukifanya?au inamaana CCM imekosa maoni ya kupeleka kwenye tume ya katiba kiasi cha kuanza kutafutiza mipasho ya kupeleka kwenye tume?au CCM wanarasimu tofauti na ile iliyotolewa na tume ya katiba inayowataka wapeleke maoni hayo mafu wanayoyajadili kwenye vikao vyao.
 
Basi hili nalo ishauriwe ccm iweke hiki nalo ktk katiba hhhhh chadena vibaraja. Heru kibaraka asiye fisadi. Wanataka kutumia uchaguzi wa zimbabwe say tz !=zmbw
 
Vipi lile swala la madiwani kule Bukoba? Nape utawasilisha zile barua walizowasilsha kwako za kukata rufaa? nina wasiwasi kesho utakanusha kwamba hujasema Chadema Wahuni. umemnukuu Warioba wakati ulisema ni mzee anasubiri kufa. wanaosubiri kufa nao wana mawazo mazuri? Hivi Warioba alisemaje kuhusu yale mavitabu yenu mliyogawia watu ili kuwafundisha ya kuongea. Nyani haoni kundule.
 
Km ni uzalendo khs rasimu ya katiba cdm wanastahili pongezi ni iwapo tu utalipima hili kimawazo ya kitaifa zaidi na si kichama mm nimebahatika kuhudhuria ktk misafara yote i mean wa mwenyekiti na wa katibu nilihudhuria wa m/kiti nikiwa mwz na wa katibu nikiwa dodoma kuna kijitabu cha kijani chenye alama ya jembe na nyundo kinapinga mambo mengi mazuri ya tume ya mzee warioba mf kuhusu uwazi, maadili ya viongozi wa umma na mengine mengi, wao wanajaribu kuelimisha tena kwa kuwatumia wanasheria weledi km marando, edson mbogolo, tundu lissu nk. Nafikiri ccm kwa suala hili nyeti la katiba wamepotoka na hawana jipya wanataka waturudishe enzi za chama kushika hatamu(patamu). Ni mtazamo wangu tu!
 
tsvangirai aw Tanzania wanaongojea kichapo 2014/2015. Hawana jinsi lazima wapewe Chinje Chiiiiii
 
Hivi HEBU NISAIDIE UNAWEZA KUMUHUBIRI YESU/MUNGU BILA KUMLAANI NA KUMTAJA SHETANI? CHADEMA KAMA SHETANI KILA AKITOKEA TU WATU....ushindwe na ulegee shetani!!!

Mifano mingine......!!!!! Mhh! Ata shetani atakushangaa kumfananisha na CDM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…