CHADEMA ni wezi wa mali za umma, hawafai hata kusimama majukwaani na kuropoka chochote. Chuki dhidi ya hayati Magufuli ni sababu alizuia wizi wao

Bado wewe uzolewe na corona
 
Sema hua mnafeli bakubwa san!! Ingekua mnatoa facts zenye evidence mngekua smart sana lkn ndo ivo mnaokotaokota vijimamb visivyo na facts wala evidence ili mradi umewaponda hao CDM!! Jifunzeni kujenga hoja zenye facts!!
Hao ni zaidi ya mazumbukuku tu ya burigia
 
Comment bora kwa jioni ya leo
 
Modes mko biased sana, mtu Mwerevu akileta mada fikrishi mwafuta uzi, but watu wajinga jinga na mada zao za kijinga jinga mnawaangalia tu...Nakazia tu!!
Inawezekana kuna kada wa chama hapo lkn pia atakuwa ni sukuma gang
 
Uwe na aibu siku zingine. Magufuli na kundi lake wameficha pesa za plea bargain kule China. Halfu Trilioni 1.5 zipo wapi?
Hawezi kuona aibu maana akili zake zimeumbwa hivyo
 
Tunataka ipitishwe sheria kaburi la magufuli kila mwaka lichapwe viboko 72 ili hii tabia isijirudie tena nchini kwetu.
 
Mtu mzima kushinda kuandika UPUMBAVU kutwa kucha ni dalili ya kupata KICHAA. Magufuli mwenyewe alikuwa mwizi. Muone hapa akiwa anawanga
 
AKILI NDOGO HUJADILI BILA USHAHIDI ukiambiwa toa ushahidi utatoa?acha Umbambamba
 
Tulia ww muumini wa dhalimu.
 
Tangu mumeo DAB afukuzwa kibarua siku hizi umepoa kama mchuzi wa samaki uliokosa ndimu

Daaaah!!! Bado munwa niweka pasipo hadi Leo... 🀣🀣🀣 Hayo nimeandika yamekuchoma πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
 
Sema hua mnafeli bakubwa san!! Ingekua mnatoa facts zenye evidence mngekua smart sana lkn ndo ivo mnaokotaokota vijimamb visivyo na facts wala evidence ili mradi umewaponda hao CDM!! Jifunzeni kujenga hoja zenye facts!!
Pesa za umma ziko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…