CHADEMA ni wezi wa mali za umma, hawafai hata kusimama majukwaani na kuropoka chochote. Chuki dhidi ya hayati Magufuli ni sababu alizuia wizi wao

Hatimaye umerudi kibaruani na timu yako, Cocochannel, stroke,Nigrantgrant na marafiki zenu 🤔.Karibu tena sisi tupo,jana leo,na hata juzi,🤔
 
Wamemukwiba mama Yako?
 
Uongo mtupu...Cdm hawajahi kuongoza hii nchi, huo uwizi unaowapakazia ni ujinga mtupu.

Halafu wanaoendelea kumtuhumu JPM ni hao hao Ccm wenzako.
 
AKILI NDOGO HUJADILI BILA USHAHIDI ukiambiwa toa ushahidi utatoa?acha Umbambamba
Ushahidi autoe wapi wakati ni habari za kuokoteza ili ainekane ameisema vibaya cdm
 
Daaaah!!! Bado munwa niweka pasipo hadi Leo... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo nimeandika yamekuchoma [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Wewe ndiyo umezoea kuchomwa na DAB
 
Hatimaye umerudi kibaruani na timu yako, Cocochannel, stroke,Nigrantgrant na marafiki zenu [emoji848].Karibu tena sisi tupo,jana leo,na hata juzi,[emoji848]
Hawa chawa sasa hivi hawana tena meno
 
Viwanja vya michezo vilijengwa kwa kodi za wananchi ila leo hii CCM wanasema ni vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…