CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

Efforts zinatakiwa ziwekwe kwenye last step, serious efforts I mean, tusiendelee kuridhika na hii nyomi ambayo imekuwepo kwa miaka mingi, mipango iwekwe hasa kwenye Katiba Mpya na Tume Huru.
 
Efforts zinatakiwa ziwekwe kwenye last step, serious efforts I mean, tusiendelee kuridhika na hii nyomi ambayo imekuwepo kwa miaka mingi, mipango iwekwe hasa kwenye Katiba Mpya na Tume Huru.
Ni kweli chama tayari kimeshasimika mizizi ya Imani kwa Wanachi vya kutosha
 
Vijijini burudani na vichekesho ni ngumu kupata, ndio maana watu hujaa, hawajai kwa sababu ya itikadi

Ni kweli ila CCM huwa wanajisifia kuwa wanakubalika sana na watu wa vijijini kuliko mjini, na husema huwa wanashinda maana huko vijijini ndio kuna watu wengi! Kwahiyo wakati unafanya hii nongwa uwe makini na kumbukumbu ya propaganda ya chama chako cha majizi ya kura.
 
Ni kweli chama tayari kimeshasimika mizizi ya Imani kwa Wanachi vya kutosha

Tatizo la CDM utakuta wana uungwaji mkono mkubwa hivyo, ila ikifika uchaguzi wanaokoteza wahuni toka CCM eti wanakubalika. Nakumbuka ule utapeli eti Lowassa ndio alileta mafuriko CDM, akaishia kupata sifa ambazo hakustahili.
 
Tatizo la CDM utakuta wana uungwaji mkono mkubwa hivyo, ila ikifika uchaguzi wanaokoteza wahuni toka CCM eti wanakubalika. Nakumbuka ule utapeli eti Lowassa ndio alileta mafuriko CDM, akaishia kupata sifa ambazo hakustahili.
Mkuu hatutarudia kosa tena utawala wa Magufuli umetufundisha vya kutosha
 
Nguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:

View attachment 2529478

Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.

View attachment 2529481

Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.

Hatutapewa katiba mpya mezani.

2 Wafalme 7:6 inasema:

"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Picha imepigwa kihuni mno eto nyomi au mnadanganywa na hiyo horizontal oblique
 
Nguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:

View attachment 2529478

Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.

View attachment 2529481

Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.

Hatutapewa katiba mpya mezani.

2 Wafalme 7:6 inasema:

"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Hakika
 
Nguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:

View attachment 2529478

Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.

View attachment 2529481

Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.

Hatutapewa katiba mpya mezani.

2 Wafalme 7:6 inasema:

"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Mimi nimevutiwa sana na kichwa cha mada yako.

Laiti kama CHADEMA wangekuelewa na wakatimiza yanayohimizwa na kichwa cha habari hiki, sina shaka wengi tungepata matumaini juu ya chama hiki.

Sasa sijui kama kweli chama chako kinakuelewa sawia.

Ninakuomba ujizatiti, uwahimize wakuelewe na wafanye kweli.

Habari ya nyimbo za 'nyomi' ilikwishapita siku nyingi.
 
Haipo katiba mpya bila maumivu. Muda wa kufanya tathmini ni huu.
Hebu kidogo.

Kwenye mikutano hii inayofanywa na CHADEMA tokea ianze huko Mwanza, sijasikia habari ya "KATIBA MPYA" ikizungumziwa.

Could this be a coincidence or is it by design?
 
Efforts zinatakiwa ziwekwe kwenye last step, serious efforts I mean, tusiendelee kuridhika na hii nyomi ambayo imekuwepo kwa miaka mingi, mipango iwekwe hasa kwenye Katiba Mpya na Tume Huru.

Seriously ifahamike na serious efforts zielekezwe kwenye ukweli mchungu huu:

1. Chama kinauungwaji mkono wa kutosha.
2. Hatutapata Katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
3. Hatutapata Katiba mpya kwa kuzingatia sheria, kanuni au taratibu tunazopewa na CCM.
4. Hatutapewa Katiba mpya mezani kama hisani.
5. Hatutapata Katiba mpya bila maumivu.

Huo ndiyo ukweli.
 
Katiba mpya ni after 2025,, hilo liko clear

Hata 2050 ni baada ya 2025. Lini Katiba mpya hilo ni uamuzi wa walio wengi. Miito ya Katiba mpya sasa siyo ya kupuuza.
 
Mimi nimevutiwa sana na kichwa cha mada yako.

Laiti kama CHADEMA wangekuelewa na wakatimiza yanayohimizwa na kichwa cha habari hiki, sina shaka wengi tungepata matumaini juu ya chama hiki.

Sasa sijui kama kweli chama chako kinakuelewa sawia.

Ninakuomba ujizatiti, uwahimize wakuelewe na wafanye kweli.

Habari ya nyimbo za 'nyomi' ilikwishapita siku nyingi.

Mkuu tuko pamoja. Niliwahi kuandika uzi huu na comments kadhaa zilizoufatia:

Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka

Kunahitajika chief strategist wa kutufikisha tunakotaka. Kama kocha wa mpira, atakuwa evaluated kutokana na matokeo.
 
Hebu kidogo.

Kwenye mikutano hii inayofanywa na CHADEMA tokea ianze huko Mwanza, sijasikia habari ya "KATIBA MPYA" ikizungumziwa.

Could this be a coincidence or is it by design?

Mikutano ya vyama ni kipimo kizuri kwa mwenye macho kupima nguvu za chama. Hii ni mahsusi kwa chama chenyewe na washindani pia.

Labda hatua hii ilikuwa ni kwenye kuzindua mikutano zaidi. Hata hivyo upepo umeshaonekana na muda wa kwenda kwenye core business ni sasa.

Core business - Katiba Mpya.

Ninakazia bila mpanga mikakati mkuu wa maana, kufika tutafika lakini tukiwa tumepoteza muda mwingi au Kwa taabu zaidi.
 
Back
Top Bottom