- Thread starter
- #41
Nyomi si habari tena, tunajizatiti kumaliza mchezo.Picha imepigwa kihuni mno eto nyomi au mnadanganywa na hiyo horizontal oblique
Ya kizenji, chenga twawala imetosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyomi si habari tena, tunajizatiti kumaliza mchezo.Picha imepigwa kihuni mno eto nyomi au mnadanganywa na hiyo horizontal oblique
Efforts zinatakiwa ziwekwe kwenye last step, serious efforts I mean, tusiendelee kuridhika na hii nyomi ambayo imekuwepo kwa miaka mingi, mipango iwekwe hasa kwenye Katiba Mpya na Tume Huru.
Hivi ni kwa nn eti huitaki katiba mpya?Katiba mpya ni after 2025,, hilo liko clear
Sio siitaki, mie naongelea fact,, chadema wanataka majimbo, yaani mkuu wa mkoa apigiwe kura na wananchi,, ACT wanataka serikali tatu,, ccm wanataka muundo uliopo uendelee,, katiba mpya itapatikana hapo?Hivi ni kwa nn eti huitaki katiba mpya?
So Hiyo ni Nyomi? Na hao Ni wanachama wa CDM?
Mkuu 'brazaj', nikubali, kuna mambo mengi sana yanawekwa hapa JF kiasi kwamba ni vigumu kila mara kukumbushana yaliyokwishasemwa huko nyuma.Mikutano ya vyama ni kipimo kizuri kwa mwenye macho kupima nguvu za chama. Hii ni mahsusi kwa chama chenyewe na washindani pia.
Labda hatua hii ilikuwa ni kwenye kuzindua mikutano zaidi. Hata hivyo upepo umeshaonekana na muda wa kwenda kwenye core business ni sasa.
Core business - Katiba Mpya.
Ninakazia bila mpanga mikakati mkuu wa maana, kufika tutafika lakini tukiwa tumepoteza muda mwingi au Kwa taabu zaidi.