Utoto nao ni taabu maana kabla hujachangia ni vizuri ujue historia ya Kenya kwa maana ya KARL MARX:kwamba historia yote ni habari ya mapambano ya kitabaka.
Kwa ufupi MAU MAU ilimwaga damu na Uhuru maana yake ARDHI iliyokuwa msingi wa vita hii imemezwa na WAZUNGU WEUSI the KIKUYU NA HUSUSANI FAMILIA YA mzee JOMO KENYATTA.Moi muumini wa NYAYO philosophy aliendelea kuilinda familia hii na kuteketeza yeyote asiye KIKUYU-KALENJIN aliyeonesha dalili za kuwa kiongozi:yaliyompata DR. OUKO ROBERT ambaye alimsindikiza MOI USA kisha akaweza kujibu na kuweka masuala vizuri yale MOI ALIYOCHEMKA,ni kuuwawa na kuchomwa moto na kutupwa msitu wa NGONG,bahati nzuri fisi hawakuitamani nyama yake,ili shetani adhihirike.MSITU HUU WA NGONG ulihifadhi mwili wa KARIUKI MWANGWI akiitwa president of the poor wakati wa KENYATTA,MOI,profesa wa siasa za kimauaji, NDIYE SHAHIDI AU MASTERMINDER WA HII PIA!Moi alishindwa kuvumilia kauli ya mwandishiwa habari eti OUKO angefaa zaidi kuwa PRESIDA kwa ufasaha pamoja na uelewa mkubwa wa mashauri ya kigeni yaite foreign affairs if you like broken English.Ouko alirejea mwenyewe alifukuzwa kazi kimya kimya ,alienda kwa MOI NA MKE NA WATOTO KUOMBA RADHI LAKINI AKILIONA KILICHOMNYOA KANGA MANYOYA YAKE.
Wakati MOI ANAONDOKA maradakani alijenga dalili za mapambano katiya UHURU na KIBAKI,akijua kuwa wote ni GIKUYUS nawote watamlinda yeyey na familia ya MZEE KENYATTA DHIDI YA DAMU TAKATIFU ILIYOMWAGWA BILA HATIA NA MOI PLUS KENYATTA MAANA UHURU ANGELINDA FAMILIA NA KIBAKI ALISHAKUWA KWENYE GIKUYU-KALENJIN MAFIOSO kwa hiyo hadi leo hajamfanya MOI CHOCHOTE CHA AJABU.
RAILA NI MUUNGWANA,MPIGANAJI,MZALENDO NA MWATHIRIKA WA SIASA ZA MAUAJI,MATESO,KESI ZA KUBAMBIKWA IKIWAMO UHAINI,KIPIGO,NAKILA AINA YA MADHILA,THE GENTLEMAN PRESIDENT WHICH KENYA FAILED TO HAVE.
CCM ni Chama cha Magamba ya almasi,kilimpokea Raila kwa usanii,WAKATI AMBAPO kinyemela system ilimpokea RAIS KIBAKI Mikampa jina la barabara kichochoro tu ukilinganisha na THIKA EXPRESS HIGHWAY na UHURU pia kinyemela,MAGUFULI ALIENDA kumsanifu RAILA,CDM waliend akuisapoti ODM waziwazi CCM ilisapoti UHURUTO kimafia hata hii deal ya kura CCM ni wabobezi tangia huko ZNZ hadi kule ISBANIA-TARIME!
CDM was in historical context right to support ODM.CCM AS A MAFIOSO STATE-PARTY was as well right to support KIBAKI AND HIS MUNGUKI SUPPORTING UHURU MUGAI KENYATTA, MAANA NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA!But history tends to repeat itself na kinachotokea leo kilitokea 50 yrs ago.CHADEMA WATAIKOMBOA NCHI,LINI,HOW,NA NANI KIONGOZI AJUAYE NI MUNGU NA HISTORIA YENYEWE