jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app