CHADEMA: Odinga ameibiwa kura

CHADEMA: Odinga ameibiwa kura

Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Kijana rudi studio CD yako haijaaminika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
CHADEMA wanamuunga mkono Raila au Uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia vizuri utaona hii ni post ya 2013! Imerudishwa tu...
 
Bora muangalie hata makonda anavyo hangaika kujieleza [emoji23][emoji23][emoji23]

Don't put all egg on one Basket
 
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
2013!!! too late to catch the train!! Uhuru ameshawasikia mlipokuwa Tanga. Amejibu kuna vinchi vinategemea 40% ya bajeti yake kwa donors----------------------
 
CHADEMA hakiwezi kukurupuka kama JK alivyokurupuka kumpongeza Kenyatta huku akijua kwamba bado hajaapishwa na vile vile kuna uwezekana matokeo yakatenguliwa na Mahakama.Sasa hivi wanaomba mahakama isitoe ruling in favour of CORD maana itakua embarassement kidiplomasia.

Wanadiplomasia na mataifa mengine wamewapongeza wakenya na kukwepa jina la Uhuru lakini hapa tumekurupuka
Hujapatikana!
 
Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu umekurupuka vibaya hadi unatia huruma nimeamini sisi watu weusi tuna matatizo saana ya kiakili, hivi kabla huja comment uliisoma vizuri hiyo post na kujua ni mwaka gani? post ya uchaguzi uliopita hata marehem Ben saanane alikua hai na ali comment, hiyo ilikua mwaka 2013, sasa mwenzangu ulivyoingia mkenge hadi nakuhurumia
 
Hata kama CORD wameibiwa kura kweli, it is quite cumbersome for CHADEMA to get mingled in that.

Kwanza ni mambo ya nchi nyingine.

Pili Wakenya wengine watajiuliza motive ya CHADEMA ni nini? Wana hisa gani CORD? Raila ana risk kuwa controlled kutoka nje ya Kenya?

Halafu suppose CHADEMA wanashinda uchaguzi 2015 na washasema Jubilee hawajashinda kihalali. Watafanya nini? Watarecall recognition ya serikali ya CCM?

This move, if at all the report is accurate, is most imprudent.
Motive yao yafanana na ile ya kuingilia mambo ya CUF
 
Ahsante JF kwa kutunza kumbukumbu zetu kule archive
 
Back
Top Bottom