Kinyamagala
Senior Member
- Oct 13, 2011
- 154
- 29
Iv c hao chadema waliomtahadharisa magufuli kwa kauli yake ya kuwataka wakenya wamchague oding a na kwamba ingeathiri diplomasia kama ikitokea wakenya wamemkataa?iweje leo?sina imani na chanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekanaje hizi pipo kuwaza wizi wa kura nyakati za uchaguzi! nina mashaka nao, pengine wana expirience ya wizi. This is not gud, wanachochea conflicts ambazo hazina maana yoyote. A gud leader ni yule ambaye, ana avoid uchochezi unaoweza kuleta mivutano isiyo na maana yoyote.
Kwanza asilimia 50.07% siyo ushindi wa kishindo (Landslide victory), aidha CHADEMA sidhani kama wametokea tamko hilo unless utuwekee PRESS RELEASE yao tukuamini....!!!GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Hivi SA sio taifa? South Africa's President Congratulates New Kenyan President
Si yule anayetumia mbinu ya kujosafisha baada ya kulala na mwanamke mwaathirika ama?Sasa kama elimu ya maambukizi ya Ukimwi tu hana unategemea awevmakini kwenye mambo ya kidiplomasia?
Hivi SA sio taifa? South Africa's President Congratulates New Kenyan President
Si yule anayetumia mbinu ya kujosafisha baada ya kulala na mwanamke mwaathirika ama?Sasa kama elimu ya maambukizi ya Ukimwi tu hana unategemea awevmakini kwenye mambo ya kidiplomasia?
Si yule anayetumia mbinu ya kujosafisha baada ya kulala na mwanamke mwaathirika ama?Sasa kama elimu ya maambukizi ya Ukimwi tu hana unategemea awevmakini kwenye mambo ya kidiplomasia?
Hivi CHADEMA bado hawajampongeza Kenyatta tu?
Hayo maoni yako binafsi aua unawakilisha CHADEMA?
Ben,
Hii post umeandika wewe au Matola?
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Hivi SA sio taifa? South Africa's President Congratulates New Kenyan President
Magamba kila wakilala, wakiamka wanaiwaza Chadema. Hawa Magamba watakufa ni horo mwaka huu.