CHADEMA: Odinga ameibiwa kura


Mkuu, umewahi kufuatilia na habari zingine ambazo huwa zinaandikwa na hilo gazeti kuhusiana na Chadema? Jaribu kufanya hivyo, naamini utaelewa kilichopo kati ya gazeti hilo na Chadema kama chama.
 
Kuna kesi imefunguliwa kupinga ushindi wake na pia yeye anahitajika ICC kujibu tuhuma za mauaji ya watu zaid ya 1000 chadema haiwezi kuunga mkono wauaji!

Kuwa makini mkuu, inaelekea ushatoa hukumu tayari ya kuwaita watuhumiwa "wauaji".
Nadhani pia umeyasikia ya Muthaura, vipi kama nae angekkua ameitwa kama ulivyomuita rais mteule wa Kenya?
 
Kwanza asilimia 50.07% siyo ushindi wa kishindo (Landslide victory), aidha CHADEMA sidhani kama wametokea tamko hilo unless utuwekee PRESS RELEASE yao tukuamini....!!!

Ushindi ni ushindi tu mkuu, hata kama ukiwa ni wa 0.00000001% ni ushindi. Hilo la ushindi wa kishindo ni B!
 

Right on Brother,right on. If only we had more of you, who see reason before empty propaganda than Tanzania would have been a different place!
 
Kuwa makini mkuu, inaelekea ushatoa hukumu tayari ya kuwaita watuhumiwa "wauaji".
Nadhani pia umeyasikia ya Muthaura, vipi kama nae angekkua ameitwa kama ulivyomuita rais mteule wa Kenya?
Time will tell killers remain killers
 
Chadema walimtia gundu RAILA

na doubt sana elimu yako nani anaijua chadema kule kenya? na walimtia gundu kivipi chambua kitaalamu acha kuleta kauli za kijima hapa,.. hapa sio kwenye kijiwe cha pombe za kienyeji chambua mambo kitaaluma na uje na sounding conclusion!
 
umekurupuka ,haraka ya nini tupia taaifa yenyewe acha umbeya kwa kutumia `eti`
 
Hahahahaha hakika chadema ni chama cha wasahaulifu
 
Na wasiwasi na kauli ya CHADEMA,msemaji ni nani? Hiyo ni habari,kwa nini haikuandikwa na Tanzania Daima? Sauti watueleze alietoa kauli ninani?
ni 2013 soma tarehe. 2017 wamebadili gear wanamuunga mkono kenyatta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…