GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Mkuu, umewahi kufuatilia na habari zingine ambazo huwa zinaandikwa na hilo gazeti kuhusiana na Chadema? Jaribu kufanya hivyo, naamini utaelewa kilichopo kati ya gazeti hilo na Chadema kama chama.