jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Kijana rudi studio CD yako haijaaminika.GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
CHADEMA wanamuunga mkono Raila au Uhuru.GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Lowassa anajuaHivi CHADEMA bado hawajampongeza Kenyatta tu?
Ukiangalia vizuri utaona hii ni post ya 2013! Imerudishwa tu...Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.
Sent using Jamii Forums mobile app
2013!!! too late to catch the train!! Uhuru ameshawasikia mlipokuwa Tanga. Amejibu kuna vinchi vinategemea 40% ya bajeti yake kwa donors----------------------GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Hujapatikana!CHADEMA hakiwezi kukurupuka kama JK alivyokurupuka kumpongeza Kenyatta huku akijua kwamba bado hajaapishwa na vile vile kuna uwezekana matokeo yakatenguliwa na Mahakama.Sasa hivi wanaomba mahakama isitoe ruling in favour of CORD maana itakua embarassement kidiplomasia.
Wanadiplomasia na mataifa mengine wamewapongeza wakenya na kukwepa jina la Uhuru lakini hapa tumekurupuka
Hii taarifa haitakuwa na ukweli ndani yake kwani Chadema walishatangaza toka awali kumuunga mkono Kenyatta na hata kwenye campaign za Kenyatta za lala salama mjumbe wa halmashauri kuu Chadema na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alihudhuria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Motive yao yafanana na ile ya kuingilia mambo ya CUFHata kama CORD wameibiwa kura kweli, it is quite cumbersome for CHADEMA to get mingled in that.
Kwanza ni mambo ya nchi nyingine.
Pili Wakenya wengine watajiuliza motive ya CHADEMA ni nini? Wana hisa gani CORD? Raila ana risk kuwa controlled kutoka nje ya Kenya?
Halafu suppose CHADEMA wanashinda uchaguzi 2015 na washasema Jubilee hawajashinda kihalali. Watafanya nini? Watarecall recognition ya serikali ya CCM?
This move, if at all the report is accurate, is most imprudent.
taarifaTunaomba taharifa rasmi ili tuchangie,hizi za ''eti'' bado si rasmi
Hakuna msemaji wa chadema aliyeropoka ivo.ni 2013 soma tarehe. 2017 wamebadili gear wanamuunga mkono kenyatta.
Tufukie tu hili kaburiKuna kesi imefunguliwa kupinga ushindi wake na pia yeye anahitajika ICC kujibu tuhuma za mauaji ya watu zaid ya 1000 chadema haiwezi kuunga mkono wauaji!