Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio maana kutofautiana sii uadui.
Mitaa ya ufipa?Uchunguzi uanzie hapo Kinondoni!
hapa Chadema hamjajipanga! kwani huyo hizo Smg alikuja nazo si kapora hapohapo eneo la tukio? barua yenyewe ipo ki kejelikejeli
Tuliwambia siku zote. Amani ikitoweka hamtakuwa salama hata nyinyi wenye mizinga na mabomuCHADEMA ndio wanataka kutufikusha kwenye vitendo kama hivi, Jeshi la polisi tusimxhekee yeyote ktk suala la amani yetu.
... Mtaa wa Ufipa, 11440 au sio?Uchunguzi uanzie hapo Kinondoni!
Mkuu kutoa pole tu unataka watu wafanya uchunguzi? Hapa tumetoa pole na rambi rambi. Jesho litafanya uchunguzi kiweledihapa Chadema hamjajipanga! kwani huyo hizo Smg alikuja nazo si kapora hapohapo eneo la tukio? barua yenyewe ipo ki kejelikejeli
Hata hilo nalo unaona wivu?Jinga la kujidai ni chadema tyr limeshapost taarifa ya cdm humu
Tafuta mume uolewe utulie
Ofsi zote za kanda na mashina zilindwe uvccm na magenge yao wataweka siraha kwenye ofsi waje na ngonjera za ugaidi wa chadema.
Huo ni mtazamo wako tena wenye mrengo wa chuki na upande huo Kama kawaida yako.... "Bwana ametoa, Bwana ametwaa" ni sawa na mbingu na ardhi kwa tukio lile hususan sterling wa tukio! Jifunzeni context ya tukio na kutumia proper wording or delivering appropriate message.
Wewe ndio mtu wa kwanza kupata dislike kutoka kwangu, enjoyCHADEMA ndio wanataka kutufikusha kwenye vitendo kama hivi, Jeshi la polisi tusimxhekee yeyote ktk suala la amani yetu.