CHADEMA: Salamu za rambirambi kwa IGP

CHADEMA: Salamu za rambirambi kwa IGP

Wanafiki wakubwa Chadema mbona hawakutoa Rambirambi wakati Askari kibao waliouawa na magaidi mkuranga ,kibiti nk kipindi kile?

Na hata siku ya kuaga Askari waliouawa hawakukanyaga
Wakawa tu wanazodoa polisi bungeni nk

Chadema kwa Nini hamkutuma salamu za Rambirambi kipindi kile ambako Askari wengi waliuawa kuliko Hawa wawili?
Wewe choqo unakumbuka Mnyika alipoleta hoja bungeni kuhusu mauaji ya Kibiti alijibiwa nini na Serikali yenu dhalimu?
 
Utumiage angalao akili yako,kama ipo pale gate la kijani usikubali ifuate. Ikusaidie sio kwa ujinga huo.
Kipindi kile Askari wanauawa hovyo na vituo vya polisi kuvamiwa na Askari kuporwa silaha na kuuawa hawajawahi toa pole Wala Rambirambi hata ya maneno

Hizi salamu Ni kebehi tu kwa IGP na jeshi la polisi

Wanawakebehi
 
... "Bwana ametoa, Bwana ametwaa" ni sawa na mbingu na ardhi kwa tukio lile hususan sterling wa tukio! Jifunzeni context ya tukio na kutumia proper wording or delivering appropriate message.

Sio kwamba ujumbe umelenga waliouawa?

Maana andiko la barua mlengwa ni IGP
 
Wewe choqo unakumbuka Mnyika alipoleta hoja bungeni kuhusu mauaji ya Kibiti alijibiwa nini na Serikali yenu dhalimu?
Hoja ilisemaje? Ulisikia inaongelea mauaji ya polisi yachunguzwe? Zitto na Chadema hawajawahi ongelea kuwa mauaji ya polisi yachunguzwe

Narudia hizi salamu zao wana like joke jeshi la polisi hakuna Cha ziada
 
hawa Chadema wanamkejeli, na wanawakejwli mara zote askari wetu. sio wakweli hata kidogo. tuwe nao makini sana, tuwamulike kwa jicho la tatu.
 
Gaidi namaba moja na mfadhili mkuu wa Vitendo vya kigaidi Mbowe yupo anasubiri Mkono wa sheria.
Sasa kama mfadhili mkuu amekamatwa mbona bado Polisi wanauawa huku nje?wanafadhiliwa na nani?
 
CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, endeleni kujiingiza kwenye 18 za police. Given tuhuma zinazomkabili mwnykiti wenu nynyi mngekaa kimya kabisa muache kimbelembele. Mkiambiwa mmstage hili tukio ili ku prove jambo mtakataa?
 
Uchunguzi uanzie hapo Kinondoni!
Asee huyu jamaa kumbwe kashaenda hadi nje kusoma elimu ya dini inasemekana alienxa akiwa akili hazipo sawa ila kwa sasa aliposoma alipona kabisa na akawa fresh tuu lakini kwa mujibu wa wanaomjua na majirani wanadai alimuwa kila siku ndoto zake ni kwenda nje (n hi za kiizlam zenye itikadi kali na kauli zake za mwisho wanadai alikuwa anasema hapendi uonevu.
Chini ya kapeti:
Inasemekana kwao wanamgodi huko shinyanga na mada ya mwisho kuna madini yao yamekamatwa kwa kigezo ni feki na yakataifishwa juu kwa juu sasa haijulikani ni hasira za hayo au ni laa.
Naomba niishie hapo tuachie mamlaka husika wafanye kazi.
 
CHADEMA ndio wanataka kutufikusha kwenye vitendo kama hivi, Jeshi la polisi tusimmhekee yeyote ktk suala la amani yetu.
hawa wahuni nia yao sio nzuri kwa nchi, wanafurahia na kushadadia vitendo vya uvunjifu wa amani, wafuatilieni kwa karibu sana
Hata kama ni Siasa, Mkuu hapa Umezidi. Mimi ni Mwana CCM, lakini siamini Chadema wana nia hii. Tuache cheap politics na kuwaonea Wapinzani wetu kisiasa kwa kutumia Dola. Tujikite katika Ajenda za Maendeleo, wananchi watatuchagua. After all, hata Kodi tunalipa wote, CCM na wasio wana CCM. Wote tunatakiwa kuwa Raia sawa katika nchi yetu.
 
Hoja ilisemaje? Ulisikia inaongelea mauaji ya polisi yachunguzwe? Zitto na Chadema hawajawahi ongelea kuwa mauaji ya polisi yachunguzwe

Narudia hizi salamu zao wana like joke jeshi la polisi hakuna Cha ziada
Kwa vile huna akili timamu sikulaumu
 
Igizo limeenda poa watanzania wamehamisha attention tena..
 
CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, endeleni kujiingiza kwenye 18 za police. Given tuhuma zinazomkabili mwnykiti wenu nynyi mngekaa kimya kabisa muache kimbelembele. Mkiambiwa mmstage hili tukio ili ku prove jambo mtakataa?
Nenda kawasaidie kuokoteza, wanaweza kuja kukupa ajira. Wanapwaya sana kwenye ubumbaji.
 
Back
Top Bottom