Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka asemeje?... "Bwana ametoa, Bwana ametwaa" ni sawa na mbingu na ardhi kwa tukio lile hususan sterling wa tukio! Jifunzeni context ya tukio na kutumia proper wording or delivering appropriate message.
Chadema kutoa pole kwa jeshi la polisi imekua kejeli tena?!hawa Chadema wanamkejeli, na wanawakejwli mara zote askari wetu. sio wakweli hata kidogo. tuwe nao makini sana, tuwamulike kwa jicho la tatu.
Uchunguzi uanzie hapo Kinondoni!
Baada ya gaidi kukutwa na kadi ya chase Sasa wanatoa pole, angekutwa na kadi ya CCM wangefurahi Sana.Mitaa ya ufipa?
Kila jambo lina wakati wakeWanafiki wakubwa Chadema mbona hawakutoa Rambirambi wakati Askari kibao waliouawa na magaidi mkuranga ,kibiti nk kipindi kile?
Na hata siku ya kuaga Askari waliouawa hawakukanyaga
Wakawa tu wanazodoa polisi bungeni nk
Chadema kwa Nini hamkutuma salamu za Rambirambi kipindi kile ambako Askari wengi waliuawa kuliko Hawa wawili?
Kawaida yenu kupongeza magaidi. Pongeza tuu maana kiongozi wenu nae gaidi.Huo ni mtazamo wako tena wenye mrengo wa chuki na upande huo Kama kawaida yako.
Yupo Mexicooo oohhhhooohhhhKwani Maghufuli Yuko wapi 😊
Umeona mbali mkuu, Sasa wajipange.alikuwa anasubiria msafara huyo
Kwa nini uishie jicho la tatu. Wamulike kwa jicho la 100 kabisa.hawa Chadema wanamkejeli, na wanawakejwli mara zote askari wetu. sio wakweli hata kidogo. tuwe nao makini sana, tuwamulike kwa jicho la tatu.
Wapu.mbavu wanaweza kufikiria hivyo. Tusifanye mambo kwa kuogopa wapu.mbavu watasema nini.CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, endeleni kujiingiza kwenye 18 za police. Given tuhuma zinazomkabili mwnykiti wenu nynyi mngekaa kimya kabisa muache kimbelembele. Mkiambiwa mmstage hili tukio ili ku prove jambo mtakataa?
bahati mbaya mkuu mimi sio mfuasi wa chama chochote mimi ni mtanzania, naipenda nchi yangu, ila inapo tokea chama chochte kina hubiri na kuhamasisha uvunjifu wa amani siwezi kukaa kimya, CHADEMA ni Chama ambacho tayari kimeonyesha wazi ni chama kinacho hamasisha uvunjifu wa amani, Mwenyekiti wa Chama hicho Mbowe tayari anakabiliwa na Mashitaka ya Ugaidi, hujiulizi swali tu kama Baba yao alikuwa anaratibu matendo ya Kigaidi je watoto (Vionhozi wenzake na wafuasi) wake watakuwa na tabia gani?! ni hatari sana, hiki chama kilipaswa kufutwe kabisa.Hata kama ni Siasa, Mkuu hapa Umezidi. Mimi ni Mwana CCM, lakini siamini Chadema wana nia hii. Tuache cheap politics na kuwaonea Wapinzani wetu kisiasa kwa kutumia Dola. Tujikite katika Ajenda za Maendeleo, wananchi watatuchagua. After all, hata Kodi tunalipa wote, CCM na wasio wana CCM. Wote tunatakiwa kuwa Raia sawa katika nchi yetu.
Kipindi kile Askari wanauawa hovyo na vituo vya polisi kuvamiwa na Askari kuporwa silaha na kuuawa hawajawahi toa pole Wala Rambirambi hata ya maneno
Hizi salamu Ni kebehi tu kwa IGP na jeshi la polisi
Wanawakebehi
shida ya CHADEMA lugha za kistaarabu hamna...Wapu.mbavu wanaweza kufikiria hivyo. Tusifanye mambo kwa kuogopa wapu.mbavu watasema nini.
Na kwa nini chadema kuwa wa kwanzaa tena haraka kutoa salamu za rambirambi?Sirro na jeshi lake nawaweka kuwa suspected no 1.
Hapo jamaa alipokuwepo ni 100 kutoka nyumba ya Diwani Athuman
Mita 200 ofisi ya usalama wa Taifa
Akauua polisi wawili kwa pistol/bastola then akachukua bunduki zao ?
Bado akaua mlinzi wa kampuni binafsi halafu tena akawa anaongoza msafara wa magari ya kiraia .
Yeye alikuwa anataka tu polisi
Kwa nini ?
Mkuu punguza hasira. Yani hutaki hata salamu za pole?Wanafiki wakubwa Chadema mbona hawakutoa Rambirambi wakati Askari kibao waliouawa na magaidi mkuranga ,kibiti nk kipindi kile?
Na hata siku ya kuaga Askari waliouawa hawakukanyaga
Wakawa tu wanazodoa polisi bungeni nk
Chadema kwa Nini hamkutuma salamu za Rambirambi kipindi kile ambako Askari wengi waliuawa kuliko Hawa wawili?
Salamu za rambi rambi si uadui.CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, endeleni kujiingiza kwenye 18 za police. Given tuhuma zinazomkabili mwnykiti wenu nynyi mngekaa kimya kabisa muache kimbelembele. Mkiambiwa mmstage hili tukio ili ku prove jambo mtakataa?
Chadema ikitoa salamu shida isipotoa nako shida!! Watu bwana!Na kwa nini chadema kuwa wa kwanzaa tena haraka kutoa salamu za rambirambi?