CHADEMA si chama cha wananchi, ni kikundi tu cha watu wanaotaka kushika madaraka

CHADEMA si chama cha wananchi, ni kikundi tu cha watu wanaotaka kushika madaraka

Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Ni wazi kuwa uko ktk kiwango chako cha juu sana cha ujinga...!!

Unaelewa maana ya chama cha siasa? Unaelewa lengo kuu la chama chochote cha siasa?

CCM ni chama cha siasa. Ni kundi dogo la watu lenye TAMAA ya kuendelea kushika dola kwa miaka zaidi ya 60 sasa na kinataka kiendelee zaidi. Ndiyo TAMAA ya kundi hili la CCM

CHADEMA ofcoz ñao ni kikundi cha watu chenye LENGO na TAMAA ya kushika dola. Na hiki ndicho kiini cha mapambano haya kati ya CCM waking'ang'ana kwa mbinu zote wasije kutolewa kwenye madaraka ya kushika dola na upandr huu CHADEMA na wenzake wakitumia kila njia kuhakikisha CCM inang'oka madarakani...!

Hii ndiyo siasa. Siasa bila misuguano na migongano kama hii hainogi...
Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

You are still in the top of your ignorance..!!

Masikini wewe Red Giant, yaani hata huelewi ni kwa sababu gani;
å Mbowe M/kiti CHADEMA taifa yuko gerezani kwa kupakaziwa kesi ya ugaidi wakati sababu ni kuongoza harakati za madai ya KATIBA MPYA..!
å Kina Tundu Lissu, Godbless Lema wanaishi uhamishoni sasa...!
å Wafuasi na viongozi wengi wa CHADEMA wana kesi kila mahali za kubambikiwa na wengine wako mahabusu za polisi na wwngine magerezani...!
å Watu wanadai mfumo mpya wa kiutawala unaojali wakulima, wagugaji, machinga kupitia madai ya KATIBA MPYA...!!
Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani.

Unadhani wakiingia madarakani ili wafanyeje? Si ndiyo wawape hao unaowatetea watakavyo? Watawapaje hao uawasemao watakacho bila kuwa na MAMLAKA na NGUVU ya kuyatekeleza hayo...?

Panua kichwa chako. Think BIG dude...!!
Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Hujui na huelewi usemacho. Ni ujinga uleule. Nisome hapo 👆👆👆juu
Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu.

Unataka wawe na lengo gani? What's wrong with? Something is wrong with you upstairs...!!
Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Ushauri huu baki nao wewe na ndugu zako. CHADEMA washikilie hapo hapo waliposhika. There's no going back. CCM walishatepeta...

Walisha - exhaust njia zote za kujihami na kujilinda ili wabaki madarakani. Option yao ya mwisho ilikuwa ni kutumia UWT na polisi kwa siri siri na kimya kimya. Now, they are doing openly, waziwazi. Unions hivi, tambua hii ni ishara ya kukata pumzi ya mwisho kwa CCM...

CHADEMA, puuzeni ushauri wa kijinga wa mpuuzi huyu anayejiita Red Giant asiyelewa lolote...!!
 
CCM bila wizi hakuna kitu, na nchi nyingi za kiafrica na umaskini wao walishaacha ushamba wa kuiba kura, ni nyinyi tuu na wapuuzi wenzenu kama Museveni, angalieni Kenya huo ujinga walimaliza wanasonga mbele sasa
 
Mtoa hoja nakushauri kasome PGO usipoteze muda humu JF...muda si rafiki kwako.
 
Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Sijasoma ulicho andika ila nakushanga hujui maana ya mwananchi ( citizen) ninachojua chadema siyo 'pressure group'
 
Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Kingekuwa Kikundi mngeisha kifuta Bungeni
Mbona mnahangaika nacho Majeshi yote CCM Bunge Tume na Msajili
 
Baada ya kugundua kuwa CCM imepoteza mvuto na haiwezi tena kushinda kihalali kwenye box la kura, inabidi mje na vijimaelezo by kuokoteza. Tunataka tume huru ya uchaguzi, kisha uwepo uchaguzi halali halafu ulete mrejesho.
ama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
 
Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.

Ukweli mchungu kwao

Tunahitaji upinzani makini na imara, wenye misingi kwenye mioyo ya wanachama wake nyumba kwa nyumba na sio viongozi tuu
 
Tupeane elimu ya uraia;
Chama cha siasa (CCM, Chadema, NCCR, CUF , ...) ni kundi la watu wenye nia/lengo la kushika madaraka ya kuongeza nchi (serikali).
Chama kisicho na lengo hilo siyo cha siasa
Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye mawazo/sera zinazofanana juu ya namna ya kuongoza nchi.
 
Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Rejea uchaguzi wa wenye viti wa mitaa na figisu zilivyo fanyika ndo utajua ni chama kipi chenye uchu wa madaraka yasiyo koma.
 
Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.

Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatqni kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.

Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.

Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Chadema nakumbuka walikamatwa kule Kagera walipoenda kupeleka misaada kwa wahanga Wa tetemeko!
Hayo yote uliyoeleza msingi wake ni katiba mpya,CDM imebeba agenda ya katiba mpya Kwani ndiyo itakayotoa majibu kwa mambo mengi!
 
Ukweli mchungu kwao

Tunahitaji upinzani makini na imara, wenye misingi kwenye mioyo ya wanachama wake nyumba kwa nyumba na sio viongozi tuu
Ukiwaambia hivyo wanaona unawachawia
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sorry but this post is of the lowest thinking capacity to the maxmum point!.. CHADEMA ni taasisi iliyoandikishwa kisheria kama chama cha siasa
Kina wana chama kuanzia ngazi ya shina
Kina rasilimali watu
Kina rasilimali vitu
Kina Uongozi kamili kuanzia ngazi ya shina
Kina matawi ndani na nje ya nchi
Kina vitengo vyote muhimu kama chama kikuu cha upinzani
Kina wasomi wakutosha
CHADEMA ni taasisi kubwa na imara inayoheshimika na kutambulikana ndani na nje ya nchi
Kukiita CHADEMA ni kikundi cha watu wachache ni mawazo finyu yaliyopitiliza

20211006_082859.jpg
 
Kama hakuna lengo la kuchukua madaraka siyo chama cha siasa.
Huu ndiyo ujinga wa wengi.
Kwanza ni sera kisha madaraka ili uzitekeleze. Kinachowafanya watu wawe kwenye chama fulani ni sera. Na nyakati nyingine chama kinaweza fanya sera zake zitekelezwe hata kosiposhika madaraka.

CDM kinafuata mtazamo wako na ndiyo maana hakifiki popote.
 
Kwanza ni sera kisha madaraka ili uzitekeleze. Kinachowafanya watu wawe kwenye chama fulani ni sera. Na nyakati nyingine chama kinaweza fanya sera zake zitekelezwe hata kosiposhika madaraka.

CDM kinafuata mtazamo wako na ndiyo maana hakifiki popote.
Huku kukariri ndiyo tatizo.
Andika chama chenye sera mbaya kwa kuzinukuu.
Kutekeleza sera, ni baada ya kuchukua madaraka.
CCM tunatekeleza sera zetu.
Tutoe elimu kwa mfano kwa ajili ya vizazi vijavyo (taifa).
Maandishi hubaki lakini matendo na maneno vyaweza kupotea (kumbukumbu).
 
Back
Top Bottom