Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Mapumbavu ya Lumumba, ni kawaida yao, bila kuitaja CHADEMA au Mbowe hawaendi haja!Sorry but this post is of the lowest thinking capacity to the maxmum point!.. CHADEMA ni taasisi iliyoandikishwa kisheria kama chama cha siasa
Kina wana chama kuanzia ngazi ya shina
Kina rasilimali watu
Kina rasilimali vitu
Kina Uongozi kamili kuanzia ngazi ya shina
Kina matawi ndani na nje ya nchi
Kina vitengo vyote muhimu kama chama kikuu cha upinzani
Kina wasomi wakutosha
CHADEMA ni taasisi kubwa na imara inayoheshimika na kutambulikana ndani na nje ya nchi
Kukiita CHADEMA ni kikundi cha watu wachache ni mawazo finyu yaliyopitiliza
Ccm wameshika nini? Siyo madaraka?Na CCM ikitoka CDM itafanya nini? Maana inaonekana wao akili yao ni kushika tu madaraka.
Pumbavu we mla panya.Yeye mleta mada anajua vikundi vya wavua dagaa kule chato
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiPumbavu we mla panya.
Kwamba mshike madaraka kwanza ndiyo muanze kutetea wananchi!! Unafikiri wapigania uhuru wangekuwa na mtazamo huo uhuru ungepatikana? Wananchi wangewaunga mkono?Chama cha Siasa sio NGO ya kupigania Haki za wafugaji au wavuvi, wajibu namba moja wa Chama cha Siasa ni kushinda chaguzi na kuingia madarakani ili kikatekeleze Sera zake, na kwenye Sera ndio utakuta utetezi wa hayo makundi yote katika jamii.
Ukiona MTU anafikra kuwa CHADEMA kikawe kikundi cha kutetea wauza vitumbua ,hajui wajibu wa Chama cha Siasa, huyu washauri CCM !
Chadema inasingiziwa kila baya, eti chadema wammekunya kinyesi kilichokutwa mwezini na astronomer wa marekani mwaka 1979Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.
Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatani kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.
Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.
Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Rejea ripoti ya TWAWEZA hadi bosi wa Twaweza akaulizwa uraia wake.Mleta mada nikuambie tu kuwa ni hayawani au mwendawazimu tu anaeweza kuamini au kuandika huu upuuzi.
1.Rejea ucahaguzi wa serikali za mitaa mliopora hofu yenu ilikuwa ni CDM
2.Uchaguzi wa 2020 mliopora ushindi na unyanyasaji mkubwa mliofanya hofu kubwa ilikuwa ni CDM
HATA UBAMBIKIAJI KESI ZA UGAIDI, HOFU YENU NI CDM
Ktk hali ya kawaida CDM ina watu wa mapenzi ya moyoni na wasomi kuliko ccm ambayo mtaji wake ni watu wasio na shule.
Nguvu wanazotumia kupigania katiba mpya na tume huru wangezitumia kupigania wakulima, wafanyabiashara na makundi mengine. Pengine tayari wangekuwa wamepata hiyo tume, katiba na hata madaraka wanayosema ndiyo lengo lao.Unazungumzia hoja gani?.Maana wewe kama uelewi madhumuni ya chama cha siasa utakua wewe ndo umepoteza kabisa uwezo wakufikiri.chama cha siasa sio sawa na chama cha wafanyakazi au vyama vya ushirika.Jukumu la kwanza la chama cha siasa nikushika madaraka kupitia mapungufu ya aliyepo.hizo hoja unazozitaka chadema wazisemee haziwezi kamwe kuongelewa kwa kiwango unachofikiria wewe kwasababu ya aina ya siasa zinazoendeshwa nchi hii.ndo maana ata Ccm wenyewe huwezi kuwasikia wakiongelea mapungufu yao yakushindwa kuisimamia serikali ili iwe na sera nzuri kwa makundi uliyoyataja.Na ata wakiongea wataongea kwanamna yakupamba sio kukosoa.Chadema walileta tu hoja ya katiba mpya umeona jinsi serikali kupitia jeshi la polisi walivyowasumbua, je unadhani watakua na uwanja gani mpana wakuzungumzia kwa kina kuhusu wakulima na makundi mengine.Wakati uwepo wa katiba bora ingetatua shida za makundi yote hayo kwapamoja lakini wameonekana wanamakosa.kwahiyo kabla hujakimbilia kuandika uku mitandaoni jipe muda wakujielimisha vizuri.Umaskini wa hii nchi haujaletwa na chadema wala mapungufu ya chadema bali ccm na serikali yake toka uhuru.
AsanteSorry but this post is of the lowest thinking capacity to the maxmum point!.. CHADEMA ni taasisi iliyoandikishwa kisheria kama chama cha siasa
Kina wana chama kuanzia ngazi ya shina
Kina rasilimali watu
Kina rasilimali vitu
Kina Uongozi kamili kuanzia ngazi ya shina
Kina matawi ndani na nje ya nchi
Kina vitengo vyote muhimu kama chama kikuu cha upinzani
Kina wasomi wakutosha
CHADEMA ni taasisi kubwa na imara inayoheshimika na kutambulikana ndani na nje ya nchi
Kukiita CHADEMA ni kikundi cha watu wachache ni mawazo finyu yaliyopitiliza
Duuuhh... Madhara ya kichwa kujaa kamasi[emoji2960]Hiki chama ni kundi tu la watu wanaotaka madaraka. Ukiangalia ugomvi wao wote na dola, kelele zao zote karibu asilimia 90 vinahusu wao kuingia madarakani.
Huwezi kuta CHADEMA wanaingia matatani na vyombo vya dola kisa walikusanyika kutetea wakulima wanaonyonywa na vyama vya ushirika, wanaonyimwa fursa ya kutafuta masoko nje nk. Huwezi kuta wameingia matatani kwa kutetea wafanyakazi kwa vitu kama fao la kujitoa au maslahi. Hawajawahi itisha maandamano kupinga kodi kandamizi kwa wafanyabiashara.
Wao siku zote maandamano yao yanahusu fursa za kuingia madarakani. Tena afdhali kipindi cha Slaa ambapo ilionekana shida kubwa ni ufisadi, na wananchi walichoka. Slaa akaishika hoja hiyo na chama kikapata nguvu kubwa sana.
Chama kinakubali kuingiza watu hata wasioamini kwenye sera zao, lengo lao ni kushika madaraka tu. Chama hiki kibadilike. Kisimamie na kupigania hoja zinazowahusu wananchi moja kwa moja. Mfano kikijaribu kujiweka kuwa mtetezi wa wakulima, kitavuna nguvu nyingi sana. Mtu akisikia kuwa wamekamatwa kwa sababu walikuwa wakipigania unyonyaji wa wakulima wa chai au mahindi inamuingia akikini kukutetea. lakini kwa mtindo huu wa kila siku kupigania namna ya kuingia madarakani kinaweza kufa kabisa.
Sukuma gang weweHicho ni chama cha kuwatetea wachagga Tanzania
Lengo nini sasa?Madaraka ni nyenzo tu ya kutekeleza sera zao. Hii ya kusema lengo kuu la chama cha siasa ni kushika madaraka linawapofusha.
Kuunda sera za jinsi nchi inavyopaswa kuendeshwa. Madaraka ni njia mojawapo ya kufanya sera hizo kutekelezwa. Pia inaweza fanya sera zake zitekelezwe bila hata kuwa na madaraka.Lengo nini sasa?
Sawa BashiteKuunda sera za jinsi nchi inavyopaswa kuendeshwa. Madaraka ni njia mojawapo ya kufanya sera hizo kutekelezwa. Pia inaweza fanya sera zake zitekelezwe bila hata kuwa na madaraka.
Wanasema CDM ina wanachama 7m. Hawa wote siyo kwamba wanataka kushika madaraka, wanataka tu sera walizokubaliana kama chama zitekelezwe. Hawajaingia kwenye chama wakiwa na lengo la kushika madaraka, lengo lao ni sera zenye manufaa kwao zitekelezwe. CDM wanaacha sera zenye manufaa kwa wananchi na kushikilia sera za kuwanufaisha wao, kushika madaraka.