CHADEMA sijui mnafeli wapi? Mnashindwa Nini kununua vifaa vya wajawazito na kuwagawia akina mama bure

CHADEMA sijui mnafeli wapi? Mnashindwa Nini kununua vifaa vya wajawazito na kuwagawia akina mama bure

Wazolee

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
3,183
Reaction score
3,660
CHADEMA mnafeli padogo sana katika harakati zenu za kisiasa mnadhani kwamba mkiikaba serikali ndio mtafanikiwa serikali Inanguvu sana hamuna uwezo wa kushindana nayo

Hivi nyinyi ni wanasiasa gani ambao hamjui kiboko ya serikali ni wananchi tena ni wale wananchi wa Hali ya chini na katika hao kundi kubwa ni wanawake

Hivi hamjui kama wenzenu mtaji wao ni wanawake?

Leo hii wanawake wanaambiwa Maneno ya kejeli nyinyi mmenga'ng'ana na mambo ambayo hata hamuwezi kushinda hiyo hiyo sera ya uchaguzi iliyopo washikeni wananchi alafu muone

Shida yenu nyinyi CDM ni wabinafsi kuliko hata ccm

Haya madini ya Bure nimewapa
 
Watoe misaada waipitishe wapi wakati serikali ni ya ccm? Ukipeleka halmashauri mkurugenzi atasema msaada umetoka wapi?
 
Jielimishe kidgo majukumu ya kila taasisi kabla hujachangia ukilaza wako kijana!
Okay! Kwahiyo hi taasisi yenu ya CHADEMA hairuhusiwi kununua vitu vyenye mahitaji muhimu Kwa jamii na kuwagawia wananchi?

Ila mnarusiwa tu kupigiwa kura na wananchi Ili mpate viti vingi vya Bunge na hatimaye mmpate ruzuku nyingi si ndio?
 
Okay! Kwahiyo hi taasisi yenu ya CHADEMA hairuhusiwi kununua vitu vyenye mahitaji muhimu Kwa jamii na kuwagawia wananchi?

Ila mnarusiwa tu kupigiwa kura na wananchi Ili mpate viti vingi vya Bunge na hatimaye mmpate ruzuku nyingi si ndio?
Sio jukumu lake na wala haikusanyi kodi na mbuzi yoyote, kadai unapopeleka mboga! Ushaambiwa kama mkeo hana gloves mpasue tu mwenyewe si una kisu cha nyanya? Ukishawapigia kura wakapata hivyo viti uje kudai kijana, vinginevyo ni kujipendekeza tu kwa wanaume wasiohusika
 
CHADEMA mnafeli padogo sana katika harakati zenu za kisiasa mnadhani kwamba mkiikaba serikali ndio mtafanikiwa serikali Inanguvu sana hamuna uwezo wa kushindana nayo

Hivi nyinyi ni wanasiasa gani ambao hamjui kiboko ya serikali ni wananchi tena ni wale wananchi wa Hali ya chini na katika hao kundi kubwa ni wanawake

Hivi hamjui kama wenzenu mtaji wao ni wanawake?

Leo hii wanawake wanaambiwa Maneno ya kejeli nyinyi mmenga'ng'ana na mambo ambayo hata hamuwezi kushinda hiyo hiyo sera ya uchaguzi iliyopo washikeni wananchi alafu muone

Shida yenu nyinyi CDM ni wabinafsi kuliko hata ccm

Haya madini ya Bure nimewapa
It doesn't work that way kijana.
 
It doesn't work that way kijana.
Wabongo ndio maana tunafeli sana yani, hatujui namna mambo yanavyoendeshwa na tukifaulu ujue tumekariri! Kuna mpaka wasomi wenye pHd lakini ni machawa kwa namna hii hii! Una tatizo lakini hujui ulipeleke wapi ndio maana tunatapeliwa deile, kila shida tunajua inahitaji maombi wala hatujui nani anawajibika! Wenye majukumu wakiona haya wanarelax na kujibu nyodo tu muda wote, wakijua baada ya muda utaenda kwenye mkesha kwa mwampsa
 
Sio jukumu lake na wala haikusanyi kodi na mbuzi yoyote, kadai unapopeleka mboga! Ushaambiwa kama mkeo hana gloves mpasue tu mwenyewe si una kisu cha nyanya? Ukishawapigia kura wakapata hivyo viti uje kudai kijana, vinginevyo ni kujipendekeza tu kwa wanaume wasiohusika
Kama viongozi wa CDM na wanachama wake uwezo wenu wa kufikiri ndio umeishia hapo hicho Chama kitawafia mikononi

Subirini mda si mrefu mtaona wenzenu CCM watakavyopita Kwa wananchi na kugawa mahitaji
 
Kama viongozi wa CDM na wanachama wake uwezo wenu wa kufikiri ndio umeishia hapo hicho Chama kitawafia mikononi

Subirini mda si mrefu mtaona wenzenu CCM watakavyopita Kwa wananchi na kugawa mahitaji
Kajielimishe utoe ujinga hujachelewa kijana, toka kwa shemeji mpe tekno yake, utabaki kuosha vyombo hadi lini? Unakua ujue...
 
Kama viongozi wa CDM na wanachama wake uwezo wenu wa kufikiri ndio umeishia hapo hicho Chama kitawafia mikononi

Subirini mda si mrefu mtaona wenzenu CCM watakavyopita Kwa wananchi na kugawa mahitaji
Sijui una kiwango Gani cha elimu. Unaambiwa jielimishe kwanza.
Wenye jukumu la kufanya hivyo ni wale wanaokusanya Kodi. Chadema Wala CCM hawakusanyi Kodi.
Hata wangetaka kufanya hayo wanazuiwa, kumbuka sugu alivyozuiwa kule Mbeya. Mifano ni mingi tu
 
CHADEMA mnafeli padogo sana katika harakati zenu za kisiasa mnadhani kwamba mkiikaba serikali ndio mtafanikiwa serikali Inanguvu sana hamuna uwezo wa kushindana nayo

Hivi nyinyi ni wanasiasa gani ambao hamjui kiboko ya serikali ni wananchi tena ni wale wananchi wa Hali ya chini na katika hao kundi kubwa ni wanawake

Hivi hamjui kama wenzenu mtaji wao ni wanawake?

Leo hii wanawake wanaambiwa Maneno ya kejeli nyinyi mmenga'ng'ana na mambo ambayo hata hamuwezi kushinda hiyo hiyo sera ya uchaguzi iliyopo washikeni wananchi alafu muone

Shida yenu nyinyi CDM ni wabinafsi kuliko hata ccm

Haya madini ya Bure nimewapa
acha ujinga tafta maarifa ccm ndo inatawala na kusanya kodi za watanzania waambie hao
 
Sio jukumu lake na wala haikusanyi kodi na mbuzi yoyote, kadai unapopeleka mboga! Ushaambiwa kama mkeo hana gloves mpasue tu mwenyewe si una kisu cha nyanya? Ukishawapigia kura wakapata hivyo viti uje kudai kijana, vinginevyo ni kujipendekeza tu kwa wanaume wasiohusika
Umetumia silaha nzito 😹😹
 
Wananchi tunafeli wapi ? Wanasiasa ni walewale hivyo badala ya kuhangaika kubadilisha hawa ambao huenda wakawa walewale kwanini tusiwabane tunaowalipa leo kuhakikisha kuna value for money kwa Kodi zetu...

 
Na wakusanya kodi wenu CCM kodi zenu wanunulie BAO la mama si ndio namanisha BAO la mama. Hahahah 😂!!
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kura muwape wengine, mahitaji wawape ufipa kweli??
Hilo ni jukumu la serikali sio la Chadema, hiyo itokee tu km kujitolea na sio wewe uwaambie wapeleke..!!
 
Kajielimishe utoe ujinga hujachelewa kijana, toka kwa shemeji mpe tekno yake, utabaki kuosha vyombo hadi lini? Unakua ujue...
Kwa hu mda fupi nikikuangalia jinsi ulivyojenga Hoja zako wewe ni mtupu kichwani

Mimi nimekuzidi Kila kitu Yani Elimu , kipato na maono ya mbali
Na ndio maana hichi nilichokisema unaona kitu Cha ajabu sana Kwa sababu kipo nje ya ufahamu wako
Ufahamu wako umeishia kusema serikali ndio ifanye Kwa kuwa inakusanya Kodi nani halijui hilo

Katika political party structure Kuna kitu kinaitwa

(Community activities and volunteer)

Hayo niliyoyasema yote yanaingia hapo hata hilo goli la mama linaingia hapo
Au mnadhani ukiangalia bajeti ya wizala ya michezo utazikuta hizo pesa za goli la mama?
kumbe ndio maana CHADEMA inafeli mmeja watoto wa shule
 
Back
Top Bottom