CHADEMA sijui mnafeli wapi? Mnashindwa Nini kununua vifaa vya wajawazito na kuwagawia akina mama bure

CHADEMA sijui mnafeli wapi? Mnashindwa Nini kununua vifaa vya wajawazito na kuwagawia akina mama bure

CHADEMA mnafeli padogo sana katika harakati zenu za kisiasa mnadhani kwamba mkiikaba serikali ndio mtafanikiwa serikali Inanguvu sana hamuna uwezo wa kushindana nayo

Hivi nyinyi ni wanasiasa gani ambao hamjui kiboko ya serikali ni wananchi tena ni wale wananchi wa Hali ya chini na katika hao kundi kubwa ni wanawake

Hivi hamjui kama wenzenu mtaji wao ni wanawake?

Leo hii wanawake wanaambiwa Maneno ya kejeli nyinyi mmenga'ng'ana na mambo ambayo hata hamuwezi kushinda hiyo hiyo sera ya uchaguzi iliyopo washikeni wananchi alafu muone

Shida yenu nyinyi CDM ni wabinafsi kuliko hata ccm

Haya madini ya Bure nimewapa
Wewe mama yako amenunua vingapi akawagawia wanawake wenzake.
 
Kwa hu mda fupi nikikuangalia jinsi ulivyojenga Hoja zako wewe ni mtupu kichwani

Mimi nimekuzidi Kila kitu Yani Elimu , kipato na maono ya mbali
Na ndio maana hichi nilichokisema unaona kitu Cha ajabu sana Kwa sababu kipo nje ya ufahamu wako
Ufahamu wako umeishia kusema serikali ndio ifanye Kwa kuwa inakusanya Kodi nani halijui hilo

Katika political party structure Kuna kitu kinaitwa

(Community activities and volunteer)

Hayo niliyoyasema yote yanaingia hapo hata hilo goli la mama linaingia hapo
Au mnadhani ukiangalia bajeti ya wizala ya michezo utazikuta hizo pesa za goli la mama?
kumbe ndio maana CHADEMA inafeli mmeja watoto wa shule

Unamaanisha Community activities and volunteerING? Una bei gani kwani mkuu? Elimu ya pHD?, kama unazo 2 kweli umenizidi, hahahaah😛😛😛

Kumbe ulikua bado unatype? Techno whatever zinasumbua hahaah!
 
Hashimu Rungwe (Mzee wa ubwabwa) from chaumma is next president🤒
 
CHADEMA mnafeli padogo sana katika harakati zenu za kisiasa mnadhani kwamba mkiikaba serikali ndio mtafanikiwa serikali Inanguvu sana hamuna uwezo wa kushindana nayo

Hivi nyinyi ni wanasiasa gani ambao hamjui kiboko ya serikali ni wananchi tena ni wale wananchi wa Hali ya chini na katika hao kundi kubwa ni wanawake

Hivi hamjui kama wenzenu mtaji wao ni wanawake?

Shida yenu nyinyi CDM ni wabinafsi kuliko hata ccm

Haya madini ya Bure nimewapa
Hizo hela za kununulia hivyo vifaa umewapa hao Chadema? Au unafikiri Chadema wana nafasi ya kutumia ovyo kodi za wananci kama wanavofanya CCM?

Kwa akili yako inapofikia sintashangaa ukiandika Chadema mnashindwa nini kununua mabasi kama CCM?
 
Back
Top Bottom