CHADEMA sijui mnafeli wapi? Mnashindwa Nini kununua vifaa vya wajawazito na kuwagawia akina mama bure

Wewe mama yako amenunua vingapi akawagawia wanawake wenzake.
 

Unamaanisha Community activities and volunteerING? Una bei gani kwani mkuu? Elimu ya pHD?, kama unazo 2 kweli umenizidi, hahahaah😛😛😛

Kumbe ulikua bado unatype? Techno whatever zinasumbua hahaah!
 
Hashimu Rungwe (Mzee wa ubwabwa) from chaumma is next president🤒
 
Hizo hela za kununulia hivyo vifaa umewapa hao Chadema? Au unafikiri Chadema wana nafasi ya kutumia ovyo kodi za wananci kama wanavofanya CCM?

Kwa akili yako inapofikia sintashangaa ukiandika Chadema mnashindwa nini kununua mabasi kama CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…