Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Sisi ni Chama makini sana.
Tunajua nini maana ya maslahi ya taifa.
Hatuwezi kuwa na fikra potevu kudanganya dunia kuwa kuna Demokrasia nchini Wakati hakuna. Zaidi ya CCM Kandamizi iliyojisahau na sasa inawakandamiza Watanzania kwa kila namna ya ufisadi.
Hatuwezi kuwa sehemu ya wasaliti wa Watanzania kwa mgongo wa Demokrasia uchwara huku Bandari za Tanganyika zikiuzwa.
Tunajua nini maana ya maslahi ya taifa.
Hatuwezi kuwa na fikra potevu kudanganya dunia kuwa kuna Demokrasia nchini Wakati hakuna. Zaidi ya CCM Kandamizi iliyojisahau na sasa inawakandamiza Watanzania kwa kila namna ya ufisadi.
Hatuwezi kuwa sehemu ya wasaliti wa Watanzania kwa mgongo wa Demokrasia uchwara huku Bandari za Tanganyika zikiuzwa.