CHADEMA siwaelewi. Bado siku 2 mwezi uishe lakini Kamati Kuu haijakutana. Why?

CHADEMA siwaelewi. Bado siku 2 mwezi uishe lakini Kamati Kuu haijakutana. Why?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. CHADEMA msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
 
Ukweli ni kwamba bado hatuna vyama vya upinzani makini, viongozi wamevigeuza vyama vyao kama "sacos" wanapiga pesa tu!!!

Migogoro mwanzo mwisho, mfano chadema wamegeuka kuwa warina asali, NCCR vurugu wanagombea uongozi vurugu tupu!!

wanacho waza wao ni matumbo yao tu...wanaendekeza njaaa...........
afadhali kidogo ACT.
 
Ukweli ni kwamba bado hatuna vyama vya upinzani makini, viongozi wamevigeuza vyama vyao kama "sacos" wanapiga pesa tu!!!

Migogoro mwanzo mwisho, mfano chadema wamegeuka kuwa warina asali, NCCR vurugu wanagombea uongozi vurugu tupu!!

wanacho waza wao ni matumbo yao tu...wanaendekeza njaaa...........
afadhali kidogo ACT.
Huwezi kuongoza hata Vicoba unalaumu wanaoongoza taasisi kubwa kama vyama vya siasa?
 
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. Chadema msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
Niko kwenye hatua za Mwisho ya kusajili chama cha siasa kiitwacho: THE MOVEMENTS FOR LIBERATION AND DEMOCRATIC CHANGE( MLDC )hiki chama kitakuwa mkombozi wa fikra ,kujitambaua (self determination )na uhuru wa kweli kuwa na fursa sawa kwa wote , fursa za ajira, fursa za elimu ,fursa za biashara na ulinzi wa Rasilimali za Taifa ili kila mmoja anufaike na keki ya Taifa hili , siyo kundila la watu wachache .....
 
Niko kwenye hatua za Mwisho ya kusajili chama cha siasa kiitwacho: THE MOVEMENTS FOR LIBERATION AND DEMOCRATIC CHANGE( MLDC )hiki chama kitakuwa mkombozi wa fikra ,kujitambaua (self determination )na uhuru wa kweli kuwa na fursa sawa kwa wote , fursa za ajira, fursa za elimu ,fursa za biashara na ulinzi wa Rasilimali za Taifa ili kila mmoja anufaike na keki ya Taifa hili , siyo kundila la watu wachache .....
Ngoja tukusubiri tuone kama utaleta chama cha upinzani ama utaongeza. idadi ya ccm B.
 
Labda unaji-overrate sana, inawezekana pia siajabu wewe siyo muhimu kiihivyo kama unavyojidhania? Hizi SM kama JF zinatudanganya sana wakati mwingine kwa kujiona maarufu ambapo kiuhalisia siyo kweli, …
 
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. Chadema msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
Mkuu 'wasikuchokonoe' kwahyo huwa unachokonelewa?
 
Labda unaji-overrate sana, inawezekana pia siajabu wewe siyo muhimu kiihivyo kama unavyojidhania? Hizi SM kama JF zinatudanganya sana wakati mwingine kwa kujiona maarufu ambapo kiuhalisia siyo kweli, …
Kwani wewe ndiyo chadema? Mbona povu? Wenye chama naowafahamu wamekaa kimya sembuse wewe pangupakavu?
 
Ukiacha hujuma walizofanyiwa na wanazoendelea kufanyiwa wapinzani na CCM/dola hususan CDM, kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wa uwezo wake. Ili CDM ibaki kwenye mstari sahihi, ni muda muafaka Mbowe kukaa pembeni na chama kuongozwa na mwenyekiti mpya. Jambo hili nimekuwa nikilisema wazi wazi kuhusu Mbowe kufikia mwisho.

Kimsingi Mbowe alipaswa kukaa pembeni mara baada ya mission Lowassa kugombea urais kwa njia ya mkato kushindikana. Kama aliona aibu kuachia baada ya Lowassa blunder, basi hakupaswa kugombea tena uenyekiti uchaguzi uliopita. Jambo hili nililisitiza kabla ya uchaguzi mkuu, na hata wakati wa uchaguzi mkuu. Na nimekuwa nikiendelea kusisitiza kuwa Mbowe kafikia mwisho. John Heche anastahili sana kuwa mwenyekiti mpya wa CDM.
 
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. Chadema msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.

Kama JPM alikuwa muongo na hao wengine je????
Huoni JPM alifanya vitu “visible “ kwa kila mtu.
 
Back
Top Bottom