Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukiuliza swali la kijinga utapokea jibu la kiuendawazimu unaokera.Kwa nini hakuchagua siku ingine ndiyo afe?Hakuna maslahi hapo kwani siku zingine maandamano hayawezi fanyika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiuliza swali la kijinga utapokea jibu la kiuendawazimu unaokera.Kwa nini hakuchagua siku ingine ndiyo afe?Hakuna maslahi hapo kwani siku zingine maandamano hayawezi fanyika?
Wataambiwa wasife kwanza hadi maandamano yafanyike.Je Mbowe au Mnyika mmoja kati yao akifariki,maandamano yataendelea?
hata tendon la ndoa umesimama kupisha maombolezo.
Usitishe watu sema tutaona busara na hekima za viongozi wa CHADEMA katika tukio hilo.Sasa mkaandamane muone, tarehe 15 si mbali
Usitishe watu sema tutaona busara na hekima za viongozi wa CHADEMA katika tukio hilo.Sasa mkaandamane muone, tarehe 15 si mbali
Kifo hakina ratiba ndugu yangu hata wewe unaweza kufa muda wowote haijalishi wewe ni nani,ulikuwa nani na utakuwa nani baadaye.Ukiuliza swali la kijinga utapokea jibu la kiuendawazimu unaokera.Kwa nini hakuchagua siku ingine ndiyo afe?
Huo ni utani,acheni kuingilia mipango ya Mwenyezi Mungu.Wataambiwa wasife kwanza hadi maanda yafanyike.
Kanuni ipi ya kiusalama wewe?Hebu fafanua ueleweke na bangi zako.Jua kwa kanuni, za kiusalama hawako sahihi, si bahatishi bali najua nalozungumza na majibu utapata tu tarehe 15
Hatutishi watu, japo umejibu kwa kutumia busara, lakini wakumbushe CHADEMA tu ulinzi katika dunia hii ni Secret ,si kila kitu kiwekwe wazi, ila kuna vipindi nchi ikiwa yapitia kuna vitu razima visitishwe.Usitishe watu sema tutaona busara na hekima za viongozi wa CHADEMA katika tukio hilo.
Wewe pimbi tu umeshashiba kiporo kilichochacha unajamba jamba tu humu.Sasa mkaandamane muone, tarehe 15 si mbali
Maslai ndio nini?....yaani wewe hata kuandika tu hujui alafu unaanzisha uzi.Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Kwa hoja hiii wewe lazima utakuwa ni Kabichi la January ya kila mwaka.Taifa lipo katika msiba,huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano je mpo sahihi.
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Wewe kilaza umeng'ang'ania kanuni za kiusalama ,zitaje ni kanuni gani siyo umelewa mataputapu yako unajiropokea mambo usiyoyajuaJua kwa kanuni, za kiusalama hawako sahihi, si bahatishi bali najua nalozungumza na majibu utapata tu tarehe 15
Anajiita Matulanya.Kuna binadamu kweli hapo?Wewe kilaza umeng'ang'ania kanuni za kiusalama ,zitaje ni kanuni gani siyo umelewa mataputapu yako unajiropokea mambo usiyoyajua
Tarehe 15 si mbali na leo siku haijaisha sijuhi maandamano gani mtafanya, utajua kama najamba au nakunyaWewe pimbi tu umeshashiba kiporo kilichochacha unajamba jamba tu humu.
Hatutegemei mtu km ww uwe na akiliMaandamano yana maslahi mapana ya Taifa na kwa wananchi kuliko huo msiba,
Note: Bwana Yesu aliwahi ponya mtu siku ya Sabato,kitu ambacho kilikua ni mwiko mkubwa katika tamaduni ya Kiyahudi.
Ila kwa sababu alichokifanya kilikua kina maslahi mapana kwa Raia hakuacha kufanya hivyo maadamu shida zilijitokeza!
Mwisho wa kunukuu!
Kumbe wewe sakala,haya wahi majalalani ukajipatie mlo wako.T
Tarehe 15 si mbali na leo siku haijaisha sijuhi maandamano gani mtafanya, utajua kama najamba au nakunya
Hamtegemei?Mnamjadili wewe na familia ya shemeji yako?Hatutegemei mtu km ww uwe na akili