CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi

CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi

Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Tupe kwanza maslahi yatokanayo na kushiriki kuzika nasi tutakupa maslahi ya maandamano? Unaenda monduli kuzika mtu uliyeshiriki kumtukana na kumkashifu mwaka 2015? Leo amekuwa bora kwako kuliko maandamano ya kutetea walio hai?
 
Mleta mada huna akili. Hivi ikitokea na kiongozi mwingine kafa leo na baada ya wiki kafa mwingine nchi itasimama? Hivi huko viwandani watu hawafanyi kazi kisa maombolezo? Inaonekana hata tendon la ndoa umesimama kupisha maombolezo.
We ndio huna akili bora kima. Andamaneni hata kila siku nyie nyumbu wa Ngorongoro. Hakuna mijitu mijinga km Chadomo.
 
Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?

Kupata katiba mpya ya taifa, kuhakikisha serekali inawajibika ipasavyo kwa umma kwenye ugumu wa maisha, kuhakikisha tunakuwa na chaguzi za haki. Kama ww umeona ni jambo la maana sana kushinda unakula wali hapo kwenye msiba wa Lowassa, endelea na hakuna mwenye tatizo na ww.
 
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?

Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.

TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO

Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
-
CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024

IMG_6223.jpg
 
Mshukuruni Samia nyie ngedere, mlikuwa wapi kipindi cha Magu. Sazingine unaona kabisa Magu ndio Rais. Haya mapumbavu hayapendagi kuona nchi ikitulia. Nchi hii inahitaji marais km Kagame na Museven.

Unaongelea walevi wa madaraka, nchi kutulia sio kuburuzwa. Huyo Magu Yuko wapi leo?
 
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?

Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.

TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO

Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
-
CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024

Ni maandamano ya AMANI ..... baada ya hapo tunaenda kuzika. Na siku 5 za maombolezo zinaisha leo ....!!
 
Back
Top Bottom