CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi

CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi

Hawa chadema ni majambazi,chama kizuri cha upizani ni ACT hawana ukabila wala udini..ila chadema ukabila na udini ndio msingi wao
 
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?

Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.

TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO

Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
-
CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024
Siyo msiba wa Kitaifa ni Msiba wa Kiserikali.

#
 
Hapana hayataendelea. Je, unafikiri Samia au nchimbi mmoja wao akifariki, ukute ccm wamepanga maandamano yao ya kusifu na kuabudu yataendelea?
Na hata CCM hawawezi andamana kama Mbowe na Mnyika wamefariki.THANKS.
 
Back
Top Bottom