Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hawa chadema ni majambazi,chama kizuri cha upizani ni ACT hawana ukabila wala udini..ila chadema ukabila na udini ndio msingi wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT hii ya waha na wapemba?Hawa chadema ni majambazi,chama kizuri cha upizani ni ACT hawana ukabila wala udini..ila chadema ukabila na udini ndio msingi wao
Siyo msiba wa Kitaifa ni Msiba wa Kiserikali.Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024
Ha ha ha ha ha h a!ACT hii ya waha na wapemba?
Maandalizi yote yamekamilika.Endeleeni na Maandamano kesho
Na hata CCM hawawezi andamana kama Mbowe na Mnyika wamefariki.THANKS.Hapana hayataendelea. Je, unafikiri Samia au nchimbi mmoja wao akifariki, ukute ccm wamepanga maandamano yao ya kusifu na kuabudu yataendelea?