Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Tupe kwanza maslahi yatokanayo na kushiriki kuzika nasi tutakupa maslahi ya maandamano? Unaenda monduli kuzika mtu uliyeshiriki kumtukana na kumkashifu mwaka 2015? Leo amekuwa bora kwako kuliko maandamano ya kutetea walio hai?Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Kwani nimekuambia nakitaka 🤔🤔 au wewe unacho 🤔🤔 peleka makasiriko yako kuleeeeeWaziri Mkuu Mstafu wewe cheo hicho hutakipata mpaka mwisho wa dunia.
Wataandamana kama wanavyo taka wewe ni nani hadi uwapangie Cha kufanya 🤔🤔 peleka utoto wako FacebookSasa mkaandamane muone, tarehe 15 si mbali
We ndio huna akili bora kima. Andamaneni hata kila siku nyie nyumbu wa Ngorongoro. Hakuna mijitu mijinga km Chadomo.Mleta mada huna akili. Hivi ikitokea na kiongozi mwingine kafa leo na baada ya wiki kafa mwingine nchi itasimama? Hivi huko viwandani watu hawafanyi kazi kisa maombolezo? Inaonekana hata tendon la ndoa umesimama kupisha maombolezo.
Ana akili fupi kama ushuzi wa ngomani huyo.Yaani hadi kajichukiza.Wataandamana kama wanavyo taka wewe ni nani hadi uwapangie Cha kufanya 🤔🤔
We unajua hata maana ya Taifa, vijana wa siku wana udumavu wa akili.Huo ni msiba wa familia ya Lowassa, CCM na serikali sio taifa
Maslai au maslahi? Halafu unajiita mwenye akili.Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Mkisha vuta bangi zenu huko porini mnajiona mnajua Kila kituWe unajua hata maana ya Taifa, vijana wa siku wana udumavu wa akili.
Mshukuruni Samia nyie ngedere, mlikuwa wapi kipindi cha Magu. Sazingine unaona kabisa Magu ndio Rais. Haya mapumbavu hayapendagi kuona nchi ikitulia. Nchi hii inahitaji marais km Kagame na Museven.Mbona unajitisha mwenyewe?Umekaza hadi kiuno.
Kama una ufahamu mdogo kushinda wa kuku unadhani nani anakujibu?Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Kweli ukiwa CHADEMA akili yako inalala maslai mapana kwa taifa? Maslai yapi kwa mfano ukatupa faida ya maandamano?
Kwani Magu yupo wapi sasa?Mshukuruni Samia nyie ngedere, mlikuwa wapi kipindi cha Magu. Sazingine unaona kabisa Magu ndio Rais. Haya mapumbavu hayapendagi kuona nchi ikitulia. Nchi hii inahitaji marais km Kagame na Museven.
Wewe joga utabaki nyumbani unachambua matembele huku unakoroga uji.Mshukuruni Samia nyie ngedere, mlikuwa wapi kipindi cha Magu. Sazingine unaona kabisa Magu ndio Rais. Haya mapumbavu hayapendagi kuona nchi ikitulia. Nchi hii inahitaji marais km Kagame na Museven.
Hapana hayataendelea. Je, unafikiri Samia au nchimbi mmoja wao akifariki, ukute ccm wamepanga maandamano yao ya kusifu na kuabudu yataendelea?Je Mbowe au Mnyika mmoja kati yao akifariki,maandamano yataendelea?
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024
Jibu hoja acha personal attack huo ni utoto,Hatutegemei mtu km ww uwe na akili
Hiyo siku nyingine ndio kesho siku tano za maombolezo zinaisha leo use brain to understand dude!Hakuna maslahi hapo kwani siku zingine maandamano hayawezi fanyika?
Mshukuruni Samia nyie ngedere, mlikuwa wapi kipindi cha Magu. Sazingine unaona kabisa Magu ndio Rais. Haya mapumbavu hayapendagi kuona nchi ikitulia. Nchi hii inahitaji marais km Kagame na Museven.
Ulivyo boga hujui hata hapa ni upo kwenye chombo cha habari na unazidi promote maandamano!Dawa Yao ndogo vyombo vyote vya habari vyote visuse kuandika au kutangaza habari yeyote ya hayo maandamano
Taifa lipo katika msiba, huu ni msiba wa kitaifa na nyinyi mnataka maandamano, je mpo sahihi?
Sisi kwa kanuni za kiusalama hampo sahihi na hatuungi mkono uvunjifu wa Amani, na pia hatuwezi ruhusu tarehe 15 mtaniambia nipo hapa.
TUKUTANE MONDULI MIMI NATANGULIA LEO
Pia soma
- Mbowe: Nitaongoza maandamano wakati taifa likiwa kwenye maombolezo
- CHADEMA: Tunaendelea na maandamano, maombolezo yanaisha kesho Februari 14, 2024