Kabisa......hata wananchi hawawaelewi,wameshindwa kutafsiri katiba katika maisha ya kawaida ya mwananchi,wamebaki kuimba tume huruHawa cowards wakiongea unaweza kuhisi dunia inatetemeka,kiuhalisia hawana kitu
Hivi ni lini CHADEMA walisema hawahitaji ushauri toka kwa Ritz ama maoni Ama kumbusho?Hivi ni lini CHADEMA walisema wanahitaji ushauri toka kwako Ritz ama maoni? Ama kumbusho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Man of the yesterday derby