CHADEMA tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani

CHADEMA tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani

“Madai ya Katiba tutadai asubuhi, mchana hadi usiku, kama wanataka tukae mezani turidhie kama wasiporidhia tutakutana Barabarani, hatutoridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba au Tume ya Uchaguzi”———M/kiti wa CHADEMA, Mbowe leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata DSM.
 
Wanabodi.

Chadema tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani mapema watu wajiandae hizi kauli za kuvimbiana tumezichoka. Hebu tutoke nje ya keybord tufanye mambo chap kidogo tu usipotezeane muda hata kidogo. Mawakili kina Kibatala wapo watatutea tukikamatwa na polisi, tutatumia wembe ule ule tunaomba polisi wasitumie nguvu kubwa.
Dhubutu labda kuandamana Face book, instagram, JF na twtter. Physically hawawezi kabisa maana show yake itakuwa kubwa sana.
 
Kwa taarifa yako watu hawakuwa waoga kipindi cha Magu ndio maana aliteka watu, kubambikia kesi na hata kuua. Kilichokuwa kinafanyika ni kumtafutia mbinu yake, na kwenye ile kampeni ndio alijua uhalisia...
Mkuu chadema ndo walikuja na madai kwamba uchaguzi haukuwa wa haki, au umesahau? katiba mpya haidaiwi kwa fujo........so long as mchakato ulianza kwa amani, vivyo hivyo utatamatika kwa amani.
 
Mkuu Ritz mimi napenda kuuliza tu,kwa sisi wakongwe hapa JF tulishangazwa sana na ukimya wako baada ya utawala wa JK ukiwa kama kada mtiifu wa CCM,iweje leo uibuke gafla kwa hii awamu ya Sita? Au tuamini kinachosemwa kuwa kwako kama siyo wa Dini yako basi huyo hana maana kwako[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu Ritz mimi napenda kuuliza tu,kwa sisi wakongwe hapa JF tulishangazwa sana na ukimya wako baada ya utawala wa JK ukiwa kama kada mtiifu wa CCM,iweje leo uibuke gafla kwa hii awamu ya Sita? Au tuamini kinachosemwa kuwa kwako kama siyo wa Dini yako basi huyo hana maana kwako[emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona mimi nipo JF tawala zote.
 
Mkuu chadema ndo walikuja na madai kwamba uchaguzi haukuwa wa haki, au umesahau? katiba mpya haidaiwi kwa fujo........so long as mchakato ulianza kwa amani, vivyo hivyo utatamatika kwa amani....

Umeona umemwaga mchele ndio unajifanya kuweka sawa, uchaguzi kuporwa tumeona kwa macho yetu na wala hatuhadithiwi. Hakuna anayedai katiba kwa fujo, bali inadaiwa kwa msisitizo, mmepanick maana mnajua hampo madarakani kihalali, hivyo mnachukulia katiba mpya kama nyaraka ya uchaguzi, kwa hiyo mnahofia kupoteza madaraka iwapo sheria zitarekebishwa.

Mchakato tunataka uwe wa amani ili msipate kisingizio cha kuuharibu, maana tunajua hamna support kubwa ya watu, zaidi ya kutegemea nguvu ya vyombo vya dola.
 
Wanabodi.

Chadema tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani mapema watu wajiandae hizi kauli za kuvimbiana tumezichoka. Hebu tutoke nje ya keybord tufanye mambo chap kidogo tu usipotezeane muda hata kidogo. Mawakili kina Kibatala wapo watatutea tukikamatwa na polisi, tutatumia wembe ule ule tunaomba polisi wasitumie nguvu kubwa.
Instagram_post_by_BAVICHA_&_CHASO_•_Jul_4,_2021_at_11:15am_UTC%22_.jpg
 
Umeona umemwaga mchele ndio unajifanya kuweka sawa, uchaguzi kuporwa tumeona kwa macho yetu na wala hatuhadithiwi. Hakuna anayedai katiba kwa fujo, bali inadaiwa kwa msisitizo...
Kama hawana support kubwa ya watu walishindaje viti karibia vyote vya ubunge, acha masihara ndugu.....
 
Ilitakiwa vyombo vya dola vikae pembeni mje wanaccm mtetee ushindi wenu hapo ndio mngefurahi. Na kama mnajiamini hata sasa jitokezeni dhidi ya Cdm bila polisi msikie mziki wake.
Mziki upi tena mkuu😀😀😀
 
Maandamano ni fujo kwanini watu wasikae chini na kuxungumza maana wahalifu watatumia hyo chance
Kinachowauma ni Rais kutoongea nao hadi leo, they think they are special, they are not
 
Wanabodi.

Chadema tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani mapema watu wajiandae hizi kauli za kuvimbiana tumezichoka. Hebu tutoke nje ya keybord tufanye mambo chap kidogo tu usipotezeane muda hata kidogo. Mawakili kina Kibatala wapo watatutea tukikamatwa na polisi, tutatumia wembe ule ule tunaomba polisi wasitumie nguvu kubwa.
Afande Muloto arejeshwe kazini haraka tumalizane nao.
 
Wanabodi.

Chadema tangazeni tarehe ya maandamano tuingie barabarani mapema watu wajiandae hizi kauli za kuvimbiana tumezichoka. Hebu tutoke nje ya keybord tufanye mambo chap kidogo tu usipotezeane muda hata kidogo. Mawakili kina Kibatala wapo watatutea tukikamatwa na polisi, tutatumia wembe ule ule tunaomba polisi wasitumie nguvu kubwa.
Unaomba polisi wasitumie nguvu kubwa, ila uko sawa wakitumia nguvu ya kati?
 
Kama hawana support kubwa ya watu walishindaje viti karibia vyote vya ubunge, acha masihara ndugu.....

Hakukuwa na uchaguzi bali kulikuwa na maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mngekuwa na uhakika wa hivyo wa watu, msingesumbua kwenye hili suala la katiba mpya.
 
Afande Muloto arejeshwe kazini haraka tumalizane nao.

Nilijua Mangula ndio atakaa mbele, kumbe ni polisi. Kwahiyo ccm haipo bali vyombo vya dola ndio tegemeo!
 
Kamanda, Maandamano ya kudai katiba ni ujinga?
Ndio ujinga mtupu. Katiba itakuja kwa wakati muafaka. Kuvurugana kama tumechelewa sana sio kweli. Wanasiasa ndio wana haraka zao
 
Back
Top Bottom