CHADEMA tuachieni Yanga na Simba zetu, zilipambania uhuru wetu. Ninyi mmefanikiwa tu kutuambia Abdul ni mtoto wa Rais Samia

CHADEMA tuachieni Yanga na Simba zetu, zilipambania uhuru wetu. Ninyi mmefanikiwa tu kutuambia Abdul ni mtoto wa Rais Samia

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
CHADEMA wanazionea gere Yanga na Simba ambazo katika maisha ya watanzania ni kama usiku na mchana
 
Wamekufuata ghetto kwako?Kama hawakusumbui tulia ushabikie mpira.
Wewe sijui unakaa wapi
  1. hawataki tuzo ya goli la mama
  2. wanasema kushabikia mpira badala ya maandamano ni ujinga na kutojitambua
 
Wewe sijui unakaa wapi
  1. hawataki tuzo ya goli la mama
  2. wanasema kushabikia mpira badala ya maandamano ni ujinga na kutojitambua
Bado ni yaleyale tu.Wewe endelea kushabikia mpira na ikibidi beti zaidi.Achana nao.
 
CHADEMA wanazionea gere Yanga na Simba ambazo katika maisha ya watanzania ni kama usiku na mchana

WE KILAZA SANA..... NDO MAANA CCM INAENDELEA KUTAWALA KWA VIJANA WA NAMNA HII? NI HASARA KWA TAIFA.
 
That's it. Umefanikiwa kuingia kwenye IGNORING LIST.

Sikuhizi najitahidi nyuzi za machawa zinipitee huko.
 
C kweli abduli n mtt wa mama samia ,Kwan chadema wamesema uongo gan mkuu hapo.

Au CCM nyie mnasemaa Abdul c mtt wa mama km mnavyosema watekajii na wauwaji cc police CCM. 🙆
 
CHADEMA wanazionea gere Yanga na Simba ambazo katika maisha ya watanzania ni kama usiku na mchana
Simba haikupambania Uhuru, Simba walikuwa chawa wa Waarabu, Wahindi na Wakoloni, tusidanganyane.
 
Simba haikupambania Uhuru, Simba walikuwa chawa wa Waarabu, Wahindi na Wakoloni, tusidanganyane.
Wewe huelewi kitu- wahindi hawakupigania uhuru wetu?
soma hii:
Something which is perhaps as satisfactory as anything in the last years has been the real partnership between all of the races in Tanganyika. If your Lordships look at the present Government, you will find that elected Ministers and nominated Ministers are African, Asian and European. They have all pulled and worked together. It is invidious to pick out any particular names, but, having said that, I want to pay particular tribute to Sir Ernest Vasey, at present the Finance Minister of Tanganyika, and before that Finance Minister in Kenya. There is no doubt that East Africa, as a whole, and Kenya and Tanganyika, in particular, owe a great debt to him for what he has done in helping forward their economies.
 
CHADEMA wanazionea gere Yanga na Simba ambazo katika maisha ya watanzania ni kama usiku na mchana
A single rubber packet could have prevented this messy situation in our nation.
 
Hizi timu ndio zinatuunganisha watanzania. Vyama vya siasa ni kutugawa tu. Hasa chama cha mbogamboga kinaaminisha watu kukiunga mkono ndio uzalendo wakati wanufaika ni wachache.
 
Back
Top Bottom