Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Kivipi shusha stori..Ila kama ni yule afande awadh nilikua namjua mm hatahangaika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi shusha stori..Ila kama ni yule afande awadh nilikua namjua mm hatahangaika
Upuuzi wa nyokoImani zingine hizi ni zaidi ya upuuzi
Mkuu laana haifanyi kazi kiwepesj hivyoUpuuzi wa nyoko
Madaraka yanalevya kwa Africa hii sidhani kama kuna atakaetokea akishinde kishawishi hiki.Fedha - Mamlaka- Umaarufu vitatumaliza kwa kushirikiana na kiburi.
Na asili ya laana hata mimi nilielaaniwa itakapofika wakati ikawa inafanya kazi yake mimi sitaona wala kuelewa kama ni laana nitadhani nimerogwa au sipendwi na jamii na kuanza kutafuta plan B kitendo kitakachozidi kunipoteza.Mkuu laana haifanyi kazi kiwepesj hivyo
Sio rahisi hivyo, dunia ingekua haikalikiNa asili ya laana hata mimi nilielaaniwa itakapofika wakati ikawa inafanya kazi yake mimi sitaona wala kuelewa kama ni laana nitadhani nimerogwa au sipendwi na jamii na kuanza kutafuta plan B kitendo kitakachozidi kunipoteza.
Binti yako alifia mikononi mwa OCD, DC na DED? Ilikuaje???Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Acha kulialia wewe mwanaume.Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Anamauchulee Bado ya mwanae anadai aliuwa shulen mkuuNdugu mbona Kama unamtisha afande kamishina shida ni nini ?
Usisahau pia kuwasomea wabadilike wafatee haki mkuu ,,maana police CCM wamezidi Kwa ssNimesoma KURJUAN kwa polisi wote wliowakamata viongozi na vijana wa chadema.
Wewe jamaa uzeeni utakuwa na shida sana,Huna hoja hata nusu kijiko!Wachaga wa CHADEMA wamewafanya muage mashindano mapema sana,hadi mmegeuka kuwa chakula,ona unajua kabisa ukiwa shambenga unafananaje,sina la kukusaidia, kupenda kwako vya Bure kumekufanya upoteze marinda kiholela kabisa
Mbona ACT?!!!!!!!!....kisa uislamu vs Ukristo.Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Mheshimiwa imekuwaje tena tumefikia hapa!?Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Tuna muongozo ya kumuomba Mungu ajibu kwa ajili ya watu kama Hawa! Usibeze ndg. Mungu anajibu kwa moto. Zaburi 109.Just you are completely wasting your time.