Pre GE2025 CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Pre GE2025 CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sisty. Mvurugaji vyama vya siasa. Kawavuruga CUF, ADC na NCCR. Ila asilaumiwe sana. Hiyo ndiyo kazi ya msajili wa vyama vya siasa.
 
Na asili ya laana hata mimi nilielaaniwa itakapofika wakati ikawa inafanya kazi yake mimi sitaona wala kuelewa kama ni laana nitadhani nimerogwa au sipendwi na jamii na kuanza kutafuta plan B kitendo kitakachozidi kunipoteza.
Sio rahisi hivyo, dunia ingekua haikaliki
 
Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Binti yako alifia mikononi mwa OCD, DC na DED? Ilikuaje???
 
Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Acha kulialia wewe mwanaume.
 
Wachaga wa CHADEMA wamewafanya muage mashindano mapema sana,hadi mmegeuka kuwa chakula,ona unajua kabisa ukiwa shambenga unafananaje,sina la kukusaidia, kupenda kwako vya Bure kumekufanya upoteze marinda kiholela kabisa
Wewe jamaa uzeeni utakuwa na shida sana,Huna hoja hata nusu kijiko!
 
Polisi wanaiba simu. Yaani wakichukua simu au laptop yako hairudi
 
Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Mbona ACT?!!!!!!!!....kisa uislamu vs Ukristo.
 
Popote ulipo kwa cheo chako najua hauko kazini hapo ulipo piga Gori sali mwambie Mungu we u binadamu wa kawaida na una nafasi kama ya Binti yangu alie fia mikononi MWA Ocd Lindi,DC Lindi na mkurugenzi Lindi na wengineo
Mwombe Mungu akusamehe.
Mheshimiwa imekuwaje tena tumefikia hapa!?
Uchawa, hofu, kutokujiamini, umezitelekeza 4Rs zako, umeamua kutoifungua nchi tena, n.k.?
 

Attachments

  • IMG_20240814_194919.jpg
    IMG_20240814_194919.jpg
    60.3 KB · Views: 2
Ana mchafua bure samia wa watu.samia anapambana kujenga maridhiano ya kitaifa yeye ana haribu.
 
Back
Top Bottom