Pre GE2025 CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Pre GE2025 CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa udhalimu waliofanyiwa CHADEMA Mbeya na kwingineko, kwa hakika nineuchukia utawala huu kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika Historia ya maisha yangu.

Police, mmewakosea sana CHADEMA. Kwa uungwana tu IGP anatakiwa kuwaomba msamaha CHADEMA. Mimi si mwanachama wa CHADEMA lakini kitendo walichotendewa CHADEMA kimeniumiza sana.

Lakini Mungu ni mkubwa zaidi, ipo siku ukombozi kamili wa Nchi hii utapatikana.
 
Unaambiwa anapiga virugu kama anapiga drums 🥁 anajikumbushia alivyokua anapiga ngoma za band ya polisi kwenye mwili wako
Tena mbowe naskia katandikwa Rungu kwenye zile kengeza zakeee,wewe acha atoke ndukiii...anaposema oooh polisi siendiii itabid tumwelewee tuuuh...
 
Kwa udhalimu waliofanyiwa CHADEMA Mbeya na kwingineko, kwa hakika nineuchukia utawala huu kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika Historia ya maisha yangu.

Police, mmewakosea sana CHADEMA. Kwa uungwana tu IGP anatakiwa kuwaomba msamaha CHADEMA. Mimi si mwanachama wa CHADEMA lakini kitendo walichotendewa CHADEMA kimeniumiza sana.

Lakini Mungu ni mkubwa zaidi, ipo siku ukombozi kamili wa Nchi hii utapatikana.
Sasa unawaonea huruma CHADEMA Kwa lipi??

Wao si wanajiita makamanda,walichoshindwa kupigana na polisi Nini??

Kumbe siyo makamanda Wala Nini,mafala flani hivii CHADEMA.
 
Juzi kwenye kuzuia Chadema wasifanye kongamano la vijana, polisi Mzanzibar, Kamishna Awadhi, alionesha chuki ya wazi kwa Watanganyika, kwa kutumia ujinga wa Watanganyika, aliamuru akina Mnyika na Sugu wapigwe,na yeye alishiriki kuwapiga bila kosa. Ikumbukwe kuwa Zanzibar hawaruhusu polisi wa Tanganyika kuajiliwa huko,lakini polisi huyu ameweza kuwapiga Watanganyika na kuwaumiza kutokana na chuki zake juu ya Watanganyika
 
Kwa hiyo sio Polisisiem vs Chadema (makamanda) tena.

Now ni Machogo (Tngnyka) Vs Wasio na machogo (znz) sio?
 
Mbona inadaiwa ni mtanganyika, mzaliwa wa Kondoa, ni mrangi??

BTW, huyu kapewa vyeo haraka haraka na huyu bibi, yawezekana anataka kumpa uIGP, maana Wambura yuko mguu mmoja nje
 
Juzi kwenye kuzuia Chadema wasifanye kongamano la vijana, polisi Mzanzibar, Kamishna Awadhi, alionesha chuki ya wazi kwa Watanganyika, kwa kutumia ujinga wa Watanganyika, aliamuru akina Mnyika na Sugu wapigwe,na yeye alishiriki kuwapiga bila kosa. Ikumbukwe kuwa Zanzibar hawaruhusu polisi wa Tanganyika kuajiliwa huko,lakini polisi huyu ameweza kuwapiga Watanganyika na kuwaumiza kutokana na chuki zake juu ya Watanganyika
Sio mzanzibar ni MTU wa dodoma, Kondoa mrangi
 
Juzi kwenye kuzuia Chadema wasifanye kongamano la vijana, polisi Mzanzibar, Kamishna Awadhi, alionesha chuki ya wazi kwa Watanganyika, kwa kutumia ujinga wa Watanganyika, aliamuru akina Mnyika na Sugu wapigwe,na yeye alishiriki kuwapiga bila kosa. Ikumbukwe kuwa Zanzibar hawaruhusu polisi wa Tanganyika kuajiliwa huko,lakini polisi huyu ameweza kuwapiga Watanganyika na kuwaumiza kutokana na chuki zake juu ya Watanganyika
Ndio nyinyi mambulula wa JF
Unaishi nae nchi moja hujui anatokea mkoa gani
Unakuja kulopokalopoka
 
Wewe ulikuwepo, au umepata hadithi?
Naa mbona mmeanza swala la ukabila ghafla?
 
CHUKI ZA KIDINI ZILIZOJAA CHADEMA KWANI HAZIONEKANIKI??

CHADEMA NI UKABILA NA UDINI TUH UMEJAA,NANI AWAPE NCHI.
Hujui usemalo mimi Muislamu kizazi Cha kumi na mbili kikitokea Hadharamaunt na Nina wadhifa CDM sijui unaongea ujinga gani.
 
Hujui usemalo mimi Muislamu kizazi Cha kumi na mbili kikitokea Hadharamaunt na Nina wadhifa CDM sijui unaongea ujinga gani.
Sawa,wewe muislam na upo CHADEMA na ni kiongozi,vizuri sana...wewe hapo zingatia maokotoo tuh kama anavyofanya mwenyewe kamanda uchwara mbowe na wenzake,lakini chama hapo hakuna.

Pale mwembe yanga,walipiga kelele weeeh na kumtaja lowasa marehemu kuwa ni Fisadi na yupo kwenye list of shame,all of sudden wanageuka baada ya lowasa KUWAPA pesa wakaanza wao wenyewe kumsafisha na kusema MABADILIKOOOO LOWASA,LOWASAAAA MABADILIKOOOO.... SASA WEWE UNADHANI HAO WANA AKILI TIMAMU,HAO NI VICHAAA CHADEMA.
 
Back
Top Bottom